Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Gaidi jipya halijajitokeza huko.Manake kila siku mnafundisha watu ugaidi.Yule wa Arusha polisi wanamtafuta ijapokua kapewa siku tano lakini ameshaharibu Njiro
acha jazba.
Gaidi jipya halijajitokeza huko.Manake kila siku mnafundisha watu ugaidi.Yule wa Arusha polisi wanamtafuta ijapokua kapewa siku tano lakini ameshaharibu Njiro
sasa na wewe hiyo kazi yako yakutembeza mbege akufukuze nani,uwanja umejaa vipakiti vya viroba vilivyotumika hata hawajui makengeza na wapambe wake waliongea nini
wanawake ndo wanaotuangusha kwenda ikulu.
Duh, hii kweli ndiyo JF. Hahahaaa! Poleni sana CCM. Hapo hapakuwa na Diamond wala ze comedy. na zaidi ya yote hakuna aliyeletwa na roli wala kununuliwa wali. Badala yake wananchi wapenda mabadiliko walikichangia chama. Wewe endelea tu kuota viroba! Kalaga baho!!!Sasa na wewe hiyo kazi yako yakutembeza mbege akufukuze nani,uwanja umejaa vipakiti vya viroba vilivyotumika hata hawajui makengeza na wapambe wake waliongea nini
hiki chama kinanifurahisha mpaka natamani ku reveal my true name. KWELI CHADEMA INAPENDWA KUNA CKU ME NITASHINDWA KUFCHA MAHABA YANGU KWENYE HIKI CHAMA POTELEA MBALI HATA WANIFUKUZE KAZI.
Mbeya mmewatoza tsh ngapi?
Ha haa haaa!hiki chama kinanifurahisha mpaka natamani ku reveal my true name. KWELI CHADEMA INAPENDWA KUNA CKU ME NITASHINDWA KUFCHA MAHABA YANGU KWENYE HIKI CHAMA POTELEA MBALI HATA WANIFUKUZE KAZI.
kwani kwenye bustani ya edeni,haliye danganywa na nyoka ni nani,hadam,au hawa,kwani hiki chama jina lake sini magamba,magamba maana yake ni nyoka au shetani au danganyae ulimwengu,
hiki chama kinanifurahisha mpaka natamani ku reveal my true name. KWELI CHADEMA INAPENDWA KUNA CKU ME NITASHINDWA KUFCHA MAHABA YANGU KWENYE HIKI CHAMA POTELEA MBALI HATA WANIFUKUZE KAZI.
Gaidi jipya halijajitokeza huko.Manake kila siku mnafundisha watu ugaidi.Yule wa Arusha polisi wanamtafuta ijapokua kapewa siku tano lakini ameshaharibu Njiro