Nashukuru kwa uelewa wako Ila imeelezea Sana kutokana na historia ya biblia....
Kwenye Uislam. Ulivyoelezea kuumbwa Adam
Eden Garden
#NABII ADAM.
Allah, Kitu cha kwanza kukiumba ulimwenguni ni Qalam ambayo ameiumba kwa ajili ya kuandika mema na maovu ya viumbe.
.
Aliumba Lauhul-Mahfuudhna...
Unasema vatcan hao mitume wenu walitokea vatcan? Au Ni biblia ndi imeandikiwa uko wakaamishia kila kitu huko.. penda Sana kusoma usitoe elimu usiyo na uhakika nayoo
Sasa uislam utaanzaje kwa MUHAMMAD (s.a.w) wakati mitume wote waliotumwa dunia ilikuwa Ni kazi moja kuwa tumuabudu Mwenyezi Mungu bila kumshirikisha na uislam ndivyo ilivyo
Nabii Mussa(a.s) alipoenda kupokea torati (wakristo wanasema amri kumi) alivyorudi alikutwa wametengeneza ndama na...
Uislamu ndio dini ya maumbile bila ya makindano.
Yaani Uislamu ndio mfumo wa maisha unaokwenda sambamba na maumbile ya mwanadamu na ulimwengu wake.
Kwa mantiki hii tunaweza kusema kwa kinywa kipana kabisa kwamba Uislamu ndio dini ya jamii ya wanadamu.
Uislamu haukuitwa dini ya jamii ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.