Tanzania ya leo
Ni nchi ya amani kusifiwa inastahili. Nilitazama duniani kote kuangalia siasa za kweli, sikuona isipokuwa Tanzania.
Kwa misingi ya Ujamaa Tanzania ilijengwa. Mwalimu Nyerere uishi mpaka wakati usio na kipimo. Hakika ulitukuka, kila mtoto anayezaliwa anasikia habari zako. Naamu...