Wakatoliki boresheni Ibada zenu

IamMrLiverpool

JF-Expert Member
Apr 27, 2014
3,174
3,827
Habari Wakuu, Bwana asifiwe.... Mungu ni Mwema... Tumsifu yesu kristo, Shalom.

Wiki iliyopita nilialikwa na jamaa yangu kwenda kuhudhuria ibada ya RC, Kwakuwa mimi huwa namualika kwenye Ibada zetu na anakuja hivyo ikabidi na mimi nimuunge mkono.

1) Kwakweli Ibada zenu zina utulivu wa hali ya juu. Hakuna movement zisizo za msingi wala milio ya simu hapo nina wapongeza.

2) Nilisikitika sana maana nimejiandaa vizuri kuja Ibadani lakini cha ajabu kanisani kwenu hakuna utaratibu wa kukaribisha wala kutambua wageni waliohudhuria siku hiyo. Makanisa mengine kama kwetu MZee wa kanisa anasimama anasoma majina ya wageni na walipotokea tena ikibidi wageni wanapewa Microphone wasalimie kanisa. Huu ni utaratibu mzuri kwa mgeni anajisikia yupo nyumbani.

Wakatoliki mgeni hawakutambui kabisaaaaa wala hawakutaji jina ili ukaribishwe. Kwa hili naomba mjifunze mboreshe hapa.

Niwatakie maandalizi mema ya Pasaka.
 
Taratibu za kukaribisha wageni sio universal kwetu wakatoliki. Inatofaitiana kati ya kigango na kigango au parokia.

Kwa mfano parokia yetu kila mwisho wa mwezi baada ya zaka hua tunaimbia watu Happy birthday waliozaliwa mwezi uliopita. Je ambao parokia zao hawafanyi hivo walaumiwe??
 
Taratibu za kukaribisha wageni sio universal kwetu wakatoliki. Inatofaitiana kati ya kigango na kigango au parokia.

Kwa mfano parokia yetu kila mwisho wa mwezi baada ya zaka hua tunaimbia watu Happy birthday waliozaliwa mwezi uliopita. Je ambao parokia zao hawafanyi hivo walaumiwe??
Lengo ni nini kuwaimbia hivyo?
 
Habari Wakuu, Bwana asifiwe.... Mungu ni Mwema... Tumsifu yesu kristo, Shalom. Wiki iliyopita nilialikwa na jamaa yangu kwenda kuhudhuria ibada ya RC, Kwakuwa mimi huwa namualika kwenye Ibada zetu na anakuja hivyo ikabidi na mimi nimuunge mkono.

1) Kwakweli Ibada zenu zina utulivu wa hali ya juu. Hakuna movement zisizo za msingi wala milio ya simu hapo nina wapongeza.

2) Nilisikitika sana maana nimejiandaa vizuri kuja Ibadani lakini cha ajabu kanisani kwenu hakuna utaratibu wa kukaribisha wala kutambua wageni waliohudhuria siku hiyo. Makanisa mengine kama kwetu MZee wa kanisa anasimama anasoma majina ya wageni na walipotokea tena ikibidi wageni wanapewa Microphone wasalimie kanisa. Huu ni utaratibu mzuri kwa mgeni anajisikia yupo nyumbani.
Wakatoliki mgeni hawakutambui kabisaaaaa wala hawakutaji jina ili ukaribishwe. Kwa hili naomba mjifunze mboreshe hapa.
Niwatakie maandalizi mema ya Pasaka.
Jiunge na jumuiya ndogondogo watakutambua,huko uliko
 
I mean no harm, but i feel like hii tabia hua ni ya kupenda kujikweza.
People wameenda kuabudu wasepe, why is is it inportant kujua umetokea wapi n ol that?
I thnk hilo n jukumu la wewe na padri/mchungaji.
Unless ulikwenda na mifuko ya cement ya mchango and u wanted recognition.
Au lengo lako ilikua utambulishwe ili iweje?
 
Habari Wakuu, Bwana asifiwe.... Mungu ni Mwema... Tumsifu yesu kristo, Shalom. Wiki iliyopita nilialikwa na jamaa yangu kwenda kuhudhuria ibada ya RC, Kwakuwa mimi huwa namualika kwenye Ibada zetu na anakuja hivyo ikabidi na mimi nimuunge mkono.

1) Kwakweli Ibada zenu zina utulivu wa hali ya juu. Hakuna movement zisizo za msingi wala milio ya simu hapo nina wapongeza.

2) Nilisikitika sana maana nimejiandaa vizuri kuja Ibadani lakini cha ajabu kanisani kwenu hakuna utaratibu wa kukaribisha wala kutambua wageni waliohudhuria siku hiyo. Makanisa mengine kama kwetu MZee wa kanisa anasimama anasoma majina ya wageni na walipotokea tena ikibidi wageni wanapewa Microphone wasalimie kanisa. Huu ni utaratibu mzuri kwa mgeni anajisikia yupo nyumbani.
Wakatoliki mgeni hawakutambui kabisaaaaa wala hawakutaji jina ili ukaribishwe. Kwa hili naomba mjifunze mboreshe hapa.
Niwatakie maandalizi mema ya Pasaka.
Kuanzia lini ibada ya kimizumu ikaboreshwa?
 
Sasa katolik misa moja wageni 50 .....tuwe tunakazi ta kutambulisha wageni ......tena mgeni mwenye mlokole hatuna muda mchafu na kina boni mwaitege .....huo utaratibu ni kilokole ....huku hakuna ....

Tunajali muda ...sali utoe sadaka usitoe utajijua hatuna dhiki ....tuna miradi mingi mashule mahospital ..na mabenk.......

Bila kusahau serikali nayo yetu(hapa nasubiria povu)

Inshort sisi ndo kila kitu katika nchi hii yaani first grade religion afu ndo wanafuata wengine waluther wa anglican afu kwa mbaliiiiiiiiiiiii waislam hao shida elimu hawana
 
Ka
Taratibu za kukaribisha wageni sio universal kwetu wakatoliki. Inatofaitiana kati ya kigango na kigango au parokia.

Kwa mfano parokia yetu kila mwisho wa mwezi baada ya zaka hua tunaimbia watu Happy birthday waliozaliwa mwezi uliopita. Je ambao parokia zao hawafanyi hivo walaumiwe

Walokole punguzeni ujuaji unataka utambulishwe we nani?
Sali maliza misa nenda kwako kale maharage
Maandiko yanahimiza ukarimu ndugu mpendwa
 
Back
Top Bottom