Recent content by onedayyes

  1. O

    JamiiForums Tanzania KERO Wahandisi wa Halmashauri tunaonewa

    Naomba niongezee 1/Msiahahara midogo,Tarura Eng anaanza na 2.2M wakati sisi tunaanza na 1.1M 2/Ukisema ufuate miongozo ya kiuhandisi unafokewa na mkurugenzi kama mtoto,yeye anataka kazi iishe haraka ili aonekane anafanya sana kazi na maboss zake 3/Usafiri wa kwenda site imekuwa changamoto,halafu...
  2. O

    JamiiForums Tanzania Kwa mliokuwa Shortlisted (Electrical II) TRC na mliowahi kufanya interview za electrical technician utumishi

    Mambo? Maswali yalitoka kwa mfumo wa kujieleza au multiple choice?
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba

    Hello! Naitwa Mary ni binti wa miaka 28 na ni mkristo, nimemaliza chuo mwaka jana kozi ya laboratory science and technology lakini bado sijapata ajira. Nilidumu kwenye mahusiano na mwanaume zaidi ya miaka 6 lakini tuliachana mwaka jana kwasababu binafsi kidogo. Natafuta mchumba mwenye umri...
  4. O

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu anayeweza nifundisha jinsi ya kutengeneza furniture za kisasa

    Habari wakuu,,natafuta mtu anayeweza nifundisha jinsi ya kutengeneza furniture za kisasa ikiwemo royal sofas,coffee tables n.k,,,nimehangaika nimekosa nimeona nilete hapa kwenu wakuu ASANTENI
  5. O

    JamiiForums Tanzania Natafuta kijana alobobea kwenye capentry na finishing ya capentry

    Za leo wakuu, Mimi ni mjasiriamali nipo dodoma,ninataka kufungua kiwanda kidogo cha kutengeneza furniture za kisasa lakini sina uzoefu wowote,,,,nataka kijana anayejua kutengeneza sofa za kisasa,coffe table,vitanda vya kisasa n.k,,,,,,km unauzoefu huo na ulishawahi kufanya tafandhali acha no...
  6. O

    JamiiForums Tanzania Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Nilifungua hiyo biashara lkn hamna kitu [emoji26][emoji26] nilifungua maeneo ya chuo lakini wanafunzi wanaenda sehemu walizozizoea hadi nikaamua kufunga,,,so kwa ushauri wangu japo wengi mtanizodoa lkn tafuta njia za pembeni za kuvuta wateja walau kwa mwezi,baada ya hapo km chipsi nzuri watabaki...
  7. O

    JamiiForums Tanzania Siioni amshamsha ya Forex, vipi watu wameshapigwa?

    Mbn unapanic bro
  8. O

    JamiiForums Tanzania Natafuta kijana mwenye nia ya biashara

    Kwahiyo atakuwa anapika supu ya mbuzi,mbuzi choma,chips,ndizi za kukaanga nk
  9. O

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Haramu kwa Muislamu

    Stupid man
  10. O

    JamiiForums Tanzania Natafuta kijana mwenye nia ya biashara

    Za leo wakuu, Nimefungua biashara ya chipsi maeneo ya UDOM( Dodoma),nimenunua kila kitu pamoja na kulipa gharama ya frame miezi mi4,,,Sasa tatizo linakuja sina hela ya viazi na mafuta,,Kwahiyo nataka kijana mwenye hela ya viazi(40000) na mafuta(18000) na vitu vidogodogo (20000) na mimi nitampa...
  11. O

    JamiiForums Tanzania Wadau naomba wazo la biashara, nina mtaji wa 10M-15M

    I love the idea
  12. O

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mkopo wa laki na nusu

    Nimekosa mtu wa kumuuzia mkuu
  13. O

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mkopo wa laki na nusu

    [emoji12]
  14. O

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani kwa mbeya inayolipa kwa biashara ya chakula

    Za leo wa ndugu,mimi ni msichana wa miaka 23 ni mwanafunzi wa chuo(must) nipo mbeya,,Nimebahatika kupata mtaji wa milioni moja,,nimewaza biashara gani ya kufanya nikaamua kufanya biashara ya chakula,,sasa tatizo linakuja sijui ni mahala gani pazuri pa kufungua mgahawa wa chakula na chipsi Kwa...
Back
Top Bottom