Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,793
NI KWELI.Mkuu riba ni riba tu iwe direct au indirect. Kupitia mikopo, pale huwa kuna riba ya moja kwa moja, na kupitia biashara kuna riba iliyobatizwa jina la faida ambayo ni indirect interest.
NI KWELI.Mkuu riba ni riba tu iwe direct au indirect. Kupitia mikopo, pale huwa kuna riba ya moja kwa moja, na kupitia biashara kuna riba iliyobatizwa jina la faida ambayo ni indirect interest.
Kwenye maelezo aliweka maelezo ya council na walipo highlight kwa red, just read btn lineshebu nieleweshe ww uliyeelewa, maana najua wafuata bendera mko wengi, lete dalili juu ya hilo
Tena masikini kweli kweliMtakufa masikini
Tena masikini kweli kweli
Dini isiyopenda maendeleo sitaki kuisikia
Kununua hisa za kampuni si haramu kiislamu. Sababu unakuwa mmoja wa wamiliki wa kampuni/biashara. Ila hiyo kampuni unayonunua hisa isiwe inajihusisha na biashara haramu: ( mfano pombe, kamari, hisa za mabenki zinazojihusisha na riba etc)
Watu watapiga porojo zao humu weee lakini
Kikubwa ujumbe umefika
Ahsante sana mkuu kwa elimu hii
Yaani kukata riba ndio uone pepo, shekh kuona pepo ufanye kazi mtume kangoka meno
Faeces !!Acha kuropoka Faeces.
Sasa watoto wa kiislamu watasomaje Vyup Vikuu bila Mkopo wa HESLB....
Wakae Nyumbani????




Hauzini mkuu?somo zuri sana mi mwenyew nilikuwa interested na hiyo biashara mara tu nilipokutana nayo ila kabla ya kufanya lolote niligoogle kutafuta fatwa ya hiyo biasha kayika sheria za kiislam...
uko vyema MKUU endelea kuelmixha watu kwa hojaKaka, nimekuelewa swali lako
Jibu lake ni hivi; Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu kuanzia anapoamka mpaka atakapolala. Hivyo kila jambo lina utaratibu wake kidini kuanzia; uchumi, siasa, elimu, afya, lishe, ndoa, mirathi, mahakama, etc Muislamu ni jukumu lake kusoma dini yake na kufuata utaratibu huo wa maisha. Muislamu anatakiwa ajue namna ya kuishi inward as well as outward kulingana na mafundisho. Hivyo basi there is such thing as "idadi" ya dhambi bali mtindo wa maisha.
Nadhani umenielewa kaka
shekhe kula kitimoto na kubet hakuhalalish hiyo no tamaa zske yeye na nafsi yakeNa kubet anabet pia![]()
![]()
duuuu ndugu yangu maana hyo umeichimbua sayar gan?Riba ni kile kiasi (fedha/mali) unachopata baada ya kufanya biashara (iwe ya kukopesha ama nyingine) , tofauti na mtaji wako wa awali. Najua wengi tafsiri yenu inaishia kwenye riba ya mkopo. But mkuu, mimi naheshima imani yako.
kundi kubwa LA watu au nchi za kiislam kufanya jambo ambalo linapingana na SHERIA hakufanyi kuhalalisha jambo hlo au kufanya ndo ushahidi was jambo hiloHawa waislamu wanaoishi dunia ya tatu ni wapuuzi sana(baadhi lakini akiwemo mleta mada) wana complications za ajabu kiasi kwamba hata ambao wamewaletea sheria za hiyo dini yao huwa wanawashangaa na kuwaona ni kama visiki tu wasivyojua dunia inaenda wapi. Kwa tasfiri fupi tu huyu jamaa ana twambia technology inapingana na dini yake!.
Anaongelea riba na speculation kama vitu haramu kwa muislamu yeyote kujihusisha navyo, anasahau kwamba hata serikali yake yenyewe tu inafanya speculation kwenye upangaji wa bajeti, anasahau kwamba hata wao wenyewe kuandama kwa mwezi huwa wana speculate.
Anatwambia forex ni haramu wakati cha kustahajabisha huko Dubai kwenye waislamu wenyewe ndio wamejaa ma forex traders kibao tu, yaani hawa waislamu wa bongo pasua kichwa wanasemaga eti hata mpira ni haramu wakati mataifa yaliyoshika dini ya kiislamu hapa afrika kama Egypt,Algeria,Tunisia ndio yanayofanya vizuri kimpira. Hawa macomplicator kama huyu mleta mada ni wakupuuza kabisa