Forex: Biashara Haramu kwa Muislamu

Forex: Biashara Haramu kwa Muislamu

Mkuu riba ni riba tu iwe direct au indirect. Kupitia mikopo, pale huwa kuna riba ya moja kwa moja, na kupitia biashara kuna riba iliyobatizwa jina la faida ambayo ni indirect interest.
NI KWELI.
 
Yaani kukata riba ndio uone pepo, shekh kuona pepo ufanye kazi mtume kangoka meno
 
somo zuri sana mi mwenyew nilikuwa interested na hiyo biashara mara tu nilipokutana nayo ila kabla ya kufanya lolote niligoogle kutafuta fatwa ya hiyo biasha kayika sheria za kiislam...
 
somo zuri sana mi mwenyew nilikuwa interested na hiyo biashara mara tu nilipokutana nayo ila kabla ya kufanya lolote niligoogle kutafuta fatwa ya hiyo biasha kayika sheria za kiislam...


Naam kaka, hongera kuliona hilo mapema
 
Kununua hisa za kampuni si haramu kiislamu. Sababu unakuwa mmoja wa wamiliki wa kampuni/biashara. Ila hiyo kampuni unayonunua hisa isiwe inajihusisha na biashara haramu: ( mfano pombe, kamari, hisa za mabenki zinazojihusisha na riba etc)


Pengine unaweza ukawa huielewi vizuri biashara ya Forex!

Kufanya forex ni sawa na kununua hisa kwenye uchumi wa nchi husika, kwa mfano kama unanunua Dollar kwa kuuza Pound. Ni sawa na kununua share kwenye uchumi wa nchi ya marekani. Hivyo gawio la faida halina utofauti na lile litokanalo na gawio la faida kwenye kampuni za kawaida.
 
Ni kweli ujumbe utakuwa umefika ila itakuwa ni sawa na kumwambia chid benz aache kula awa za kulevya ikiwa tayari amekwisha onja.


Watu watapiga porojo zao humu weee lakini
Kikubwa ujumbe umefika
Ahsante sana mkuu kwa elimu hii
 
Yaani kukata riba ndio uone pepo, shekh kuona pepo ufanye kazi mtume kangoka meno

Kwa hiyo kukubali riba ndio utaiona pepo???

Na kwa maana hiyo, kama Mtume kang'oka meno tule riba sababu pepo kuipata ufanye kazi kweli kweli sio...???

Ndio uelewa wako wa dini ya Mwenyezi Mungu huo?!

Innallilah wa inna illayhi rajiun
 
Biashara yoyote ile ni haramu kama ni ivyo kwa imani hiyo.
Mana kwanza biashara ni wizi uliokubalika.
Unanunua kitu elfu kumi afu uuze 12k hauoni hapo kama unamuibia alfu mbili jamani.ila watu MNA dhambi
 
Kaka, nimekuelewa swali lako

Jibu lake ni hivi; Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu kuanzia anapoamka mpaka atakapolala. Hivyo kila jambo lina utaratibu wake kidini kuanzia; uchumi, siasa, elimu, afya, lishe, ndoa, mirathi, mahakama, etc Muislamu ni jukumu lake kusoma dini yake na kufuata utaratibu huo wa maisha. Muislamu anatakiwa ajue namna ya kuishi inward as well as outward kulingana na mafundisho. Hivyo basi there is such thing as "idadi" ya dhambi bali mtindo wa maisha.

Nadhani umenielewa kaka
uko vyema MKUU endelea kuelmixha watu kwa hoja
 
Riba ni kile kiasi (fedha/mali) unachopata baada ya kufanya biashara (iwe ya kukopesha ama nyingine) , tofauti na mtaji wako wa awali. Najua wengi tafsiri yenu inaishia kwenye riba ya mkopo. But mkuu, mimi naheshima imani yako.
duuuu ndugu yangu maana hyo umeichimbua sayar gan?
 
Hawa waislamu wanaoishi dunia ya tatu ni wapuuzi sana(baadhi lakini akiwemo mleta mada) wana complications za ajabu kiasi kwamba hata ambao wamewaletea sheria za hiyo dini yao huwa wanawashangaa na kuwaona ni kama visiki tu wasivyojua dunia inaenda wapi. Kwa tasfiri fupi tu huyu jamaa ana twambia technology inapingana na dini yake!.

Anaongelea riba na speculation kama vitu haramu kwa muislamu yeyote kujihusisha navyo, anasahau kwamba hata serikali yake yenyewe tu inafanya speculation kwenye upangaji wa bajeti, anasahau kwamba hata wao wenyewe kuandama kwa mwezi huwa wana speculate.

Anatwambia forex ni haramu wakati cha kustahajabisha huko Dubai kwenye waislamu wenyewe ndio wamejaa ma forex traders kibao tu, yaani hawa waislamu wa bongo pasua kichwa wanasemaga eti hata mpira ni haramu wakati mataifa yaliyoshika dini ya kiislamu hapa afrika kama Egypt,Algeria,Tunisia ndio yanayofanya vizuri kimpira. Hawa macomplicator kama huyu mleta mada ni wakupuuza kabisa
kundi kubwa LA watu au nchi za kiislam kufanya jambo ambalo linapingana na SHERIA hakufanyi kuhalalisha jambo hlo au kufanya ndo ushahidi was jambo hilo
 
Back
Top Bottom