Recent content by one thing

  1. one thing

    Miche ya Papai Malkia F1 imegoma kuota

    Samahani. Hizo mbegu ulinunua kiasi gani cha pesa
  2. one thing

    Starehe ya wasiokunywa pombe ni ipi?

    Video games.. Hii kitu bana naipenda balaa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. one thing

    Kama Huna Gari na Nyumba Jiorodheshe hapa

    Na mimi nipo. Kitu pekee namiliki ni Simu na godoro tu..
  4. one thing

    Hello

    Yapi tena best
  5. one thing

    Ni aibu kuu wazazi wako wakulee halafu bado waje walee tena mkeo na watoto wako

    Hasa hasa Kinondoni mkwajuni na Kinondoni mosko yote.. Vijana wengi wanawaza starehe tu
  6. one thing

    Cami vs vitz vs Sienta vs spacio

    Kama ni machoni kwako.. Wewe ndio mtu pekee wa kujua nini unaitaji na kwa wakati gani
  7. one thing

    Kuna ukweli wowote

    Kuna wengine kama kina sie.. Siku tukichoka na mishe mishe za kitaa ndio kinanuka kinyama yani[emoji2][emoji2] Fiesta lake linakua ni balaa tupu
  8. one thing

    Kuna ukweli wowote

    Hata haujakosea [emoji23][emoji23]
  9. one thing

    Siku niliyoacha kulala kwenye nyumba za wanawake

    Hahahahahaaaa.. eti umenuna[emoji23][emoji23]
  10. one thing

    Ni Tanzania pekee kitambulisho cha Taifa kinakuthibitisha kuwa raia, lakini hata ukiwa nacho na kuomba passport unatakiwa tena kuthibitisha uraia!

    Ila umesahau kua.. Ili upate kitambulisho kuna vielelezo vingi sana utaitajika kupeleka ili kuthibitisha uraia wako. Pia sidhani kama wanaweza kukupatia NATIONAL ID ikiwa kama wanatilia shaka uraia wako
  11. one thing

    Bado anaendelea kuwasiliana na x wake kimya kimya kupitia (hidden chats whatsapp)

    Binafsi.. Ingekua nimesha malizana nae siku nyingi sana. Ile kitendo cha kuwasiliana nae tu ni kosa akirudi tena ni final
  12. one thing

    Mapenzi hayajawahi kuniacha salama moyo wangu umejaa mapenzi ila nimeshaathirika kisaikolojia naogopa kupenda tena

    Maisha ni vile unavyo yatazama.. Jambo lolote ili ulifanikishe vizur inatakiwa na ina kupasa upitie changamoto nyingi zaidi na ujifunze kwazo. Ili siku uki simama katka hilo unakua imara kama chuma Kumbuka kutogawa ushindi katika jambo lolote lile. Kama mwanzo ulitazamia kua na ndoa imara na...
  13. one thing

    Mama ndege

    Mzee wa Mimi naona mbali Ni mrefu usipime Napenda hisabati Hakuna jingine [emoji2][emoji2]
  14. one thing

    Mama ndege

    Mambo ya hisabati[emoji16] Mimi namkubali sana anko T jinsi anavyo chana
  15. one thing

    Kuna tofauti gani kati ya kukosea kuoa/kuolewa na changamoto za kawaida katika ndoa?

    Kukosea kuoa. Ni pale unakua na mtu katka mausiano kwa mda mrefu bila kuona baadhi ya tabia alizonazo aidha kwa kuzificha au wewe mwenyewe kutokua makini katika hilo ambazo ni ngumu kwake kuziacha. Unakuta umeoa/olewa mtu ambaye kabla alikua ameficha tabia fulani ambazo hana uwezo au hayupo...
Back
Top Bottom