Recent content by Onambali

  1. Onambali

    Miaka 50 ya Taifa letu, Muda na mafanikio, nini Changamoto

    Tuko katika dimbwi lile lile la umaskini, ujinga na maradhi. Tumehitimu katika usanii. Hatujafikia sehemu ya kujilinganisaha na wengine
  2. Onambali

    Najiandaa kugombea urais 2030

    Sawa mkuu, Umri wangu ni miaka 35
  3. Onambali

    Najiandaa kugombea urais 2030

    Asante sana
  4. Onambali

    Najiandaa kugombea urais 2030

    Salamuni wanaJf, Kama rais mtaraji wa Tz (2030), natanguliza pole kwa watz wote kwa vifo vya wapendwa wetu mabalimbali vinavyotokana na ujinga, umaskini na maradhi. Naumia sana moyoni mwangu ninapoona nchi yangu inaharibiwa mbele ya macho yangu. Naangalia kwa undani sana jinsi ya kuondoa...
  5. Onambali

    Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

    Nimeshayaamuru KWA JINA LA APHA AND OMEGA majini yote yarudi kuzimu. Yameshindwa.
  6. Onambali

    Mbunge wa Tarime Nyagwine Nyambari na Mauaji ya Nyamongo

    Ahh!, Inauma sana hii. Siku inakuja, nitakapohakikisha damu na maisha ya kila raia wa nchi hii yanapewa uthamani wote. Maisha ni zaidi ya dhahabu. Maisha ya kila raia ni muhimu sana kuliko wanyamapori na rasilimali zote. Hapa ilipofika haivumiliki, O my God, have mercy on Tanzania and...
  7. Onambali

    Fedha za Radar Kurudishwa: Mgogoro kati ya BAE, TZ na UK

    Nimetoa tu mifano, toa maoni yako mkuu
  8. Onambali

    Fedha za Radar Kurudishwa: Mgogoro kati ya BAE, TZ na UK

    Washeshimiwa, Salamuni, Kwa sababu kampuni ya ulinzi ya Ulaya, BAE Systems imesema italipa fidia ya sh. billion 67.29 zilizobaki katika manunuzi ya Rada, na kwa sababu tayari kuna mtafaruku kati ya kampuni (ikitaka kulipa kupitia NGOs) na serekali ya Tanzania (ikitaka isipangiwe jinsi ya...
  9. Onambali

    Ufunuo: Tanzania yangu ya leo na Ijayo

    Ee Baba wa Mbinguni, Naomba iwe hivyo kama mnenaji huyu alivyosema. Sema tu Ee Bwana maana mimi mtumishi wako (Onambali) nitakusikia. Pasipo maono watu huangamia. Ee Mungu uliyefunua matumizi sambamba ya kitabu cha Ufunuo wa Yohana kupitia kwa huyu mtu aliyejiita Ufunuo wa Yohana, naomba...
  10. Onambali

    Ufunuo: Tanzania yangu ya leo na Ijayo

    Nabii, Umetabiri vema. Angalia thread zangu za kuwania urais mwaka 2030
  11. Onambali

    Lipi jema, kuanzisha chama kipya cha siasa au kujiunga na chama cha siasa kilichopo?

    Waheshimiwa, Lakini, Plawala, Revolutionary na mkuu wa chuo, nashukuruni, naheshimu maoni yenu, nasubiri maoni zaidi kutoka kwa great thinkers wengi.
  12. Onambali

    Lipi jema, kuanzisha chama kipya cha siasa au kujiunga na chama cha siasa kilichopo?

    Wana JF, Nawasalimu. Baada ya kutangaza nia yangu ya kuomba ridhaa ya kuwa rais wa nchi yetu mwaka 2030, nimeulizwa maswali mengi sana mojawapo nilitakiwa nitaje chama changu cha siasa. Kusema kweli kabisa, mimi bado sijawa mwanachama wa chama chochote cha siasa. Mheshimiwa rais wa kwanza...
  13. Onambali

    Najiandaa kugombea urais 2030

    Usihofu, hilo halibadili nia yangu ya kuwatumikia watu wangu hata kama jina la nchi lingebadilika.
  14. Onambali

    Najiandaa kugombea urais 2030

    Tumia haki yako kikatiba, karibu uwanjani, watz wataamua
Back
Top Bottom