Hudhuria jado maana mambo mengine hayana msaada labda mtu wako akusaidie kwa kujibidisha kwani kichwa cha motto kinapita iweje dushelele yako tu au tumia mafuta ya YK
Natumia modem ya airtel model MF 190 tatizo inakuwa inakata sana hadi niondoe na kuconnect upya tatizo ni nini? na nifanyanye nini ili kuondokana na tatizo hili maana bundle hupotea kama nadownload chochote pindi inapo disconnect.
mimi nilipata majanga baada ya kutuma pesa kwa NMB Mobile kwenda MPESA, zimetoka katika akaunti ila mhusika hakuchukua. Kila nikipiga namba hizo za huduma kwa wateja naambiwa tatizo litaripotiwa hadi leo bado linaripotiwa mpaka sasa nimeamua kutulia maana gharama ya kufuatilia inaweza kuwa sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.