Recent content by OMWENE

  1. OMWENE

    Kuolewa na mwanajeshi

    Uamuzi ni wako tu ni binadamu kama wengine
  2. OMWENE

    HIV rapid test

    Kweli kazi ipo, watu wanataka kupora taaluma za wenzao!
  3. OMWENE

    Kuja pm

    kweli jukwaa limevamiwa
  4. OMWENE

    Jionee madhara ya usanii juu ya Katiba pendekezwa

    kumbe na wewe umeona, inawezekana hajui hata kusoma maana hata kitabu kinapakuanzia
  5. OMWENE

    Basi la Sharon linalofanya safari za Arusha - Dodoma, limepata ajali Arusha Airport

    Hizi yutong inabidili kufanyiwa utafiti wa kasi na barabara zetu pengine hazihimili
  6. OMWENE

    Prof. Muhongo: Nimeshafanya uamuzi

    yetu macho kuna nani kachota pesa za kampeni maaana hawa watu ni mchwa
  7. OMWENE

    Mungai: Msinilishe Maneno,Shule za kata ni Ubunifu wa Rais Kikwete na Lowassa

    hivi huyu mungai si ndiye aliua masomo ya sayansi, biashara ,ufundi na kuanzia ujinga hapa Tanzania?
  8. OMWENE

    Tochi za kupima mwendo(speed) zinatumika vibaya Mdaula

    nitaleta majibu baada ya kujaribu
  9. OMWENE

    Nanyimwa unyumba eti kisa na mgegedeo mkubwa!

    Hudhuria jado maana mambo mengine hayana msaada labda mtu wako akusaidie kwa kujibidisha kwani kichwa cha motto kinapita iweje dushelele yako tu au tumia mafuta ya YK
  10. OMWENE

    Airtel Modem msaada jamani

    Natumia modem ya airtel model MF 190 tatizo inakuwa inakata sana hadi niondoe na kuconnect upya tatizo ni nini? na nifanyanye nini ili kuondokana na tatizo hili maana bundle hupotea kama nadownload chochote pindi inapo disconnect.
  11. OMWENE

    Kero kutoka kwa watumishi wa NMB tawi Dodoma

    mimi nilipata majanga baada ya kutuma pesa kwa NMB Mobile kwenda MPESA, zimetoka katika akaunti ila mhusika hakuchukua. Kila nikipiga namba hizo za huduma kwa wateja naambiwa tatizo litaripotiwa hadi leo bado linaripotiwa mpaka sasa nimeamua kutulia maana gharama ya kufuatilia inaweza kuwa sawa...
  12. OMWENE

    Msaada juu ya uke wa mke wangu

    KY inapatikana katika hospital hutumiwa sana kuingiza catheter kwa wanaume wanapokuwa na tatizo la mkojo
  13. OMWENE

    Mbunge Wenje kuburuzwa Mahakamani kesho kwa uchochezi!

    wale watalaam wa kupangua kesi watakuwepo? yaani Tundu Lissu na wenzake
  14. OMWENE

    Nini hasa tatizo linalowakumba wasomi wetu bongo?

    Bongo hata wasomi upeo wao unaminywa hata wajitahidi hawaungwi mkono ktk tafiti.Ndio maana wanakimbia majukwaa ya siasa .profesa Msolwa wapi?
Back
Top Bottom