Hana iman na din yake so hata huko alikoenda yanaweza mshinda akahama tena simama na imani yako majani mungu wetu ni mmoja ila tu binadamu tunamtofautisha majina.
Jaman wa Tz tuamke kwa nini kila cku sisi tunatumiwa na watu.Hata katika familia baba anapoamua maamuzi tofauti huji kusikia watoto wanaandamana kwa kukataa kufanya kazi za nyumbani au vitu vingine vinavyohusiana na kuijenga familia but huwa baba akikaa akitulia watoto au mtoto mkubwa huenda...
Ndugu yangu Sali sana na kufunga kwa moyoy mmoja huku ukimuomba mwenyezi mungu akuepushe na hayo majaribu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Akili ya kuambiwa changanya na yako utapata jibu lililokamili na lenye manufaa kwako na kwa jamii yako nzima ikuzungukayo na kuketegemea wewe kama baba au mama, kaka au dada.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Pole sana mwanadada ndo maisha ila usikate tamaa mwenyezi mungu yu pamoja nawe na majaribu mengi jua ufame uko mbele so kuwa mvumilivu tu one day yote hayo utayaona mapito ndugu yangu but but I wish kupitia hapa utapata msaada tu
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.