Ndugu zangu kuna nafasi za kazi kada mbalimbali zilitangazwa na TANESCO. Vijana waliitwa wakaenda kufanya usaili.
Lakini cha kushangaza tangu mwezi wa tano, sita na wa saba vijana hawa wamefanyishwa usaili na kuahidiwa majibu ndani ya wiki mbili hamna lolote lililotokea.
Ikumbukwe sasa...
Hii filamu imewahi kutoka, nadhani muandaaji katamani alipwe chake mapema. Produza ameshindwa nini kusubiri na kuirelease 2019 au 2020 mwanzoni?
Mbona sasa hivi kuna singo bado zinatamba sana kama Makinikia na Escrow?
Nina mdogo wangu Wa kiume amemaliza diploma ya umeme 2015 pale Arusha Tech.
Kwa sasa anafanya kazi kama Technician kampuni moja ya wahindi.
Sasa kuna hizi nafasi za Tanesco walitangaza nilikuwa napenda kujua ngazi za mishahara yao kabla hajaenda kufanya kazi huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.