Yawezekana kabisa hiki chama.kina matatizo yake kama kilivyo chama.kilichopo madarakani, lakini kama tunafikiria kukiondoa ndio suluhu ya matatizo yanayotukabiri kama nchi basi ni dhahiri shahiri tumechanganyikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naungana na mtoa mada inawezekana kabisa ni kweli, nakumbuka siku tunazindua mfugale bridge pale tazara rais alisema tena kwa hasira kabisa kuna watu wanajiita wasomi wamekuja na mapendekezo ya hovyo. I remember this statement
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni wanga basi...ukiongea hapa utadhani wewe ume invest chochote kumbe karaghabao tu[emoji23] [emoji23] ukiwa na fedha unaishi ndoto zako, kumiliki gari sio jambo baya kama una uwezo wa kununua na mambo yako yakawa bado super, najua investment za samatta kwa kiasi hicho nachokijua toka...
Kuna watu huwa nawaangalia siku hizi za usoni nasikitika tu, nimekua ugali na maji ya sukari aisee ndo maana nikijiangalia hapa nilipo sasa naamua kula maisha maana huko nyuma wazee ndo wanajua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.