Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,344
- 139,129
Uhuru wa kuzungumza uhuru wa kutoa maoni uhuru wa kudai haki kama unahisi umenyimwa. Mpuuzi ni wewe kama.hawakuandamna ni hawakuandamana mbona mumefungia mikutano ya kisiasa ? Acheni muoneHuu upuuzi mlishauleta hapa ukakosa support bado mnauleta tena?, hivi kuna MTU hajaamini kilichotokea kwamba watanzania hawawezi kuandamanishwa na kahaba mtukanaji Kama MANGE?.. Mods futa huu upuuzi PLEASE.
hujasomeka mkubwaAl Jazeera imefungiwa Egypt Kwa Uchochezi Na kazi Yao Ni Uchochezi tu
Walichochea Wa Egypt wamtoe Hosni Mubarak wakafanikiwa, baadae wakachochea Tena Wamisri wamtoe Al sisi Watu wakaingia Mtaani Watu elf 2 wakapigwa risasi za Moto Na kufa japo Al sisi hakutoka Kwao ikawa ajenda
Walichochea Watu Liby, Tunisia, Algeria, Syria Na Maeneo Mengi tu Kwa kigezo Cha kupigania Demokrasia a
Cha kushangaza Nchini kwao hao Aljazeera ( Qatar) wanaongozwa Na Utawala wa Kifalme Na hawajawahi kuzungumzia hizo Demokrasia kwenye Nchi zao
Hivi Sasa Nchi zote kubwa za Kiarabu wameiwekea Vikwazo Qatar Kwa sababu kadhaa mojawapo Ni television Yao ya Aljazeera kuwa ndio Wachochezi wa kubwa wa Vurugu.
Kwa Tanzania Inshallah hawatopata wanachokitaka
Amani kwanza mengine baadae
BBC, DW na VOA je?Al Jazeera imefungiwa Egypt Kwa Uchochezi Na kazi Yao Ni Uchochezi tu
Walichochea Wa Egypt wamtoe Hosni Mubarak wakafanikiwa, baadae wakachochea Tena Wamisri wamtoe Al sisi Watu wakaingia Mtaani Watu elf 2 wakapigwa risasi za Moto Na kufa japo Al sisi hakutoka Kwao ikawa ajenda
Walichochea Watu Liby, Tunisia, Algeria, Syria Na Maeneo Mengi tu Kwa kigezo Cha kupigania Demokrasia a
Cha kushangaza Nchini kwao hao Aljazeera ( Qatar) wanaongozwa Na Utawala wa Kifalme Na hawajawahi kuzungumzia hizo Demokrasia kwenye Nchi zao
Hivi Sasa Nchi zote kubwa za Kiarabu wameiwekea Vikwazo Qatar Kwa sababu kadhaa mojawapo Ni television Yao ya Aljazeera kuwa ndio Wachochezi wa kubwa wa Vurugu.
Kwa Tanzania Inshallah hawatopata wanachokitaka
Amani kwanza mengine baadae
Mikutano ya kisiasa inakusaidia nini?,Uhuru wa kutoa maoni UPI unautaka mbona upo hapa unatoa maoni?,tatizo mmekaririshwa na wanasiasa.Fanya kazi zako kujitafutia kipato.Huyo kahaba Mange mganga njaa tu USA tofauti ni yupo nje ya nchi tu.Uhuru wa kuzungumza uhuru wa kutoa maoni uhuru wa kudai haki kama unahisi umenyimwa. Mpuuzi ni wewe kama.hawakuandamna ni hawakuandamana mbona mumefungia mikutano ya kisiasa ? Acheni muone
BBC, DW na VOA je?
hujasomeka mkubwa
Ndio matatizo yenu wafirika kama ukahaba ni yeye na kitu yake na kule ni kazi inayotambuliwa kisheria. Kama haisaidii mbona lumumba wameipiga marufuku? Tufuate katiba na sheria sio blah blah zenuMikutano ya kisiasa inakusaidia nini?,Uhuru wa kutoa maoni UPI unautaka mbona upo hapa unatoa maoni?,tatizo mmekaririshwa na wanasiasa.Fanya kazi zako kujitafutia kipato.Huyo kahaba Mange mganga njaa tu USA tofauti ni yupo nje ya nchi tu.
Uhuru wa kutoa maoni bila kuwa anonymous!Mikutano ya kisiasa inakusaidia nini?,Uhuru wa kutoa maoni UPI unautaka mbona upo hapa unatoa maoni?,tatizo mmekaririshwa na wanasiasa.Fanya kazi zako kujitafutia kipato.Huyo kahaba Mange mganga njaa tu USA tofauti ni yupo nje ya nchi tu.
basi sawa tuipongeze TBC kwa kuchana mawimbi hadi EAGYPTKasome motive za kuanzisha hizo radio huku ukikumbuka Moja ya features za Imperialism ni ku control uwezo WA kufikiri Na kuwaza Watu wengine
Wameshamaliza kushangaa?waambie na vibaraka wao tunawashangaa pia!uongo & umbea ndo kazi yao.....tumeshawagundua!clip ya chadomo hiyo na ndo walioandaa maandamano!mbona hawakuhoji upande wa serikali?habari iko balanced?wanatofauti gani na radio /tv ufipa street?[emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]