Tatizo kubwa ni kuondoka kwa mama Ngalichako pale baraza, ila ukwel ni kwamba jamaa anatekeleza ilan ya chama ya kuwa na wasomi wengi wasio na maarifa, kama yeye mwenyewe alivyo kilaza, hafai sehemu yoyote ile hata kuwa mkulima.
Kuna watu ufikiri wao ni mdogo sana, mfano sw...e, utafikiri anatumia ta..o kuchambua mambo, kunamahali umeelekezwa uandike utumbo wako k..nge we, back to the topic, wakuu subulini upite mwezi wa saba ndo msale, baadhi ya h/w zinaogopa kulimbikiza madeni ndo maana hazitoi barua kabla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.