Queen Esther, napenda nikukumbushe na kukuhakikishia kuwa hata Saul alikuwa chaguo la MUNGU, maana MUNGU alimtuma Samwel aende kwenye kabila dogo kabisa la Benjamini, akampake mafuta Saul, kwa hiyo pia Saul alipakwa mafuta na MUNGU kupitia nabii Samwel, MUNGU ndiye aliyemchagua Saul kuwa mfalme...