CHADEMA/UKAWA wamtambulishe Lowassa Mikoani

CHADEMA/UKAWA wamtambulishe Lowassa Mikoani

Habari wanajamvi,

Kwa sasa ni dhahiri kabisa kwamba ujio wa lowasa kwenda UKAWA umempiga knockout Magufuli kwenye uwanja wa media , social networking na hata kwenye mawazo ya watu, kwa research ya haraka haraka inaonyesha miji na mikoa yote Tanzania na hasa Lumumba ni LOWASA tuu, magufuli kasahaulika kabisaaaa, katika vituo vingi vya kujiandikishia kura ukitaja ccm wanakuangalia vibaya sana, na inaonyesha kwa siku mbili hizi asilimia kubwa ya watu waliopata tabasamu na kuongeza siku za kuishi ni kutokana na ujio wa lowasa kwenye UKAWA. Sasa kampeni ikianza itakuwaje? Yawezekana ikawa huu ndo ukombozi halisi tuliokuwa tunausubiria miaka yote ya ccm kuwa madarakani?
 
Wewe ndiye uliyeanza kukata tamaa, tulia hivyo hivyo ndio utajua ni boda boda tu au hata wewe utajazana kumpokea
 
Kuna umuhimu wa kufanya hivyo kwa sababu kuu tatu: 1. kumtambulisha kama mwanachama mpya wa Chadema, 2. kama mgombea Urais kwa tiketi ya Ukawa, 3. kuweka ukweli juu ya mambo ya Richmond
KAMA CCM wakirusha makombora .... . 4. kumleta mfu (balali) 5. Wamiliki wa Simba trust na Kagoda 6. Utajiri wa RIZ 1 7. twiga kupanda ndege 8. wezi wa rasilimali zetu 9. Kwann ACACIA wamehamia TZ jumla 10. Wamiliki wa VIETEL....
 
KAMA CCM wakirusha makombora .... . 4. kumleta mfu (balali) 5. Wamiliki wa Simba trust na Kagoda 6. Utajiri wa RIZ 1 7. twiga kupanda ndege 8. wezi wa rasilimali zetu 9. Kwann ACACIA wamehamia TZ jumla 10. Wamiliki wa VIETEL....

Mkuu Vietel inamilikiwa na nani tufumbue macho hapo.
 
Umenena mkuu...pia wakumbuke kuwa, atakumbana na maswali ambayo hayako planned, ukizingatia kuwa Mzee hana ubavu wa kujieleza kwa ufasaha..

Pombe aliulizwa swali na nani. Na maswali mengi ameshayajibia
 
KAMA CCM wakirusha makombora .... . 4. kumleta mfu (balali) 5. Wamiliki wa Simba trust na Kagoda 6. Utajiri wa RIZ 1 7. twiga kupanda ndege 8. wezi wa rasilimali zetu 9. Kwann ACACIA wamehamia TZ jumla 10. Wamiliki wa VIETEL....

Hahahahaaaaa hapo kumleta mfu Balali itaniacha hooooiii. Hv kumbe yuko hai? Jamani ccm mna vituko.
 
mafuriko ndiyo hayooooooo yameanzia ufipa
11781859_385083685017569_82468507562417295_n.jpg

Noma sana aisee
 
Mnajitekenya na mnajichekesha wenyewe. Tutaonana October. Magufuli mtendaji na Mwadilifu na Lowasa Fisadi na Muasisi wa Mafisadi
 
Duuh kumbe mtoto wa mkulima na yeye kafanya yake, hii nchi viongozi washagawana vipande.
 
Huyo freemason lazima ashangiliwe lakini ushindi wa uma hutoka kwa mwenyezi mungu na sio wanadamu km yy
 
Kama ilyokuwa kwa mgombea wa ccm kuwa mh.lowassa na yeye mumtembeze huku mikoani kwa lengo la kumtambulisha kabla ya kampeni tuone kama tume itazuia au itasema nini wananchi tupo macho kuliona hilo.


Tatizo kubwa litakalo lijotokeza ni makatazo ya kuandamana na mikusanyiko/mikutano isiyo halali ya UKAWA so kitakachofuatia hapo nyote mwakijua.
 
Duuh kumbe mtoto wa mkulima na yeye kafanya yake, hii nchi viongozi washagawana vipande.

October hakuna kamati ya maadili ambayo ndio tegemeo kwa ccm kuwapitisha wagombea wa mfukoni.
 
Back
Top Bottom