Recent content by omholo

  1. O

    Hospitali zetu na majibu yasiyo sahihi - it happened to me.

    Hata mie nafikiri kile kipimo huenda(glucometer) huenda ninkibovu kwa sababu kabla ya fasting ilionyesha 16mmol/l mara 14mmol/l na ulilipofast ilionyesha 15mmol/l,siyo sahihi sababu fasting lazima ipungue kuliko mtu akiwa amekula. Na kipimo cha hospital nyingine fasting kilionyesha 5mmol/l...
  2. O

    Mwili unawasha baada ya kumeza QUINENE.msaada tafadhali

    Pole sana tatizo la kuwasha baada ya kutumia kwinini ni side effect yake, ila inaisha kadri dawa uliyotumia inapungua nguvu yake mwilini,hivyo kuwasha kutaisha kwenyewe labda kama itaendelea kwa siku kadhaa ni vema kurudi kwa dk.side effects zingine zinazoweza kutokea baada ya kutumia kwinini ni...
  3. O

    Enyi wanaume msiwe na tabia kama za mume wangu

    sawa dada naona unachofanya kusimamia mali zenu ni sawa kama mlichimba wenyewe endelea kumuomba Mungu atakusaidia ipo siku mmeo atakuelewa tu,lakini usijaribu kuacha kazi eti kwenda kukaa na mama mkwe,usionyeshe chuki kwa mmeo mtimizie yote ulokuwa unamfanyia hapo kabla hajakengeuka,ila mawifi...
  4. O

    nahitaji msaada wa mawazo wapendwa....

    mimi ninafikiri baada ya kuona msg hizo ulitakiwa kuwaza zaidi juu ya afya yake kama hana HIV na magonjwa mengine ya ngono mshauri akapime kwanza,sasa kama umenanihii naye tayari la! subiri miezi mitatu ipite ukapime ngoma hapo utaamua vizuri zaidi pamoja na ushauri uliopewa na wanajf.
  5. O

    Enyi wanaume msiwe na tabia kama za mume wangu

    mimi nijuavyo mume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja si wawili tena,siyo suala la sakaramenti ya ndoa tu bali kuwa wamoja katika maamuzi ya maisha yenu yote,labda kama mliazima pesa kwa ndugu wa mme zikawasaidia kuinuka kimaisha ndo wanatumia mwanya...
  6. O

    Ushauri: Tiba ya kikohozi na mafua

    pia unaweza tumia ephedrine nasal drops/spray,kunywa maji mengi kama mtaalamu alivyoshauri,acha kuvuta sigara wakati una mafua kwani inaongezea tatizo.
  7. O

    Msaada tafadhali kwa Mwanangu Sharon

    pole sana, matibabu yatategemea nini chanzo cha tatizo ni vema ukampeleka huyo mtoto kwa DK.bingwa wa watoto kabla tatizo halijawa sugu,lakini kuna mambo yanayoweza kuchangia kuanguka na kupoteza fahamu mf.kama kwenye ukoo kuna mtu alikuwa/ana kifafa anaweza kurithi,kama alipata magonjwa kama...
  8. O

    Ndani ya muda gani unaweza kuona dalili za awali za ukimwi kwa muathirika?

    kama alivyoeleza Idd dalili kuanza kuonekana inategemea kutokana na kinga za kila mtu,lakini ningependa wanajf tujue kuwa muda wa kujua mtu kama amepata maambukizi baada ya kufanya tendo la ndoa ni kuanzia miezi mitatu, 90%ya watu huweza kuonyesha kama wamepata maambukizi,na wachache inaweza...
  9. O

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    hiyo sitz bath waweza pata hospital hata duka la dawa,ni dawa inajulikana.
  10. O

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    kama unavyojua ugonjwa huu unachangiwa na pressure kwenye ****** hasa unapotumia nguvu nyingi wakati wa kujisaidia,tumia vyakula hivyi kupunguzia tatizo,vyakula vya majimaji,matunda kwa wingi,mboga za majani kwa wingi,pia kunywa maji mengi.<BR>&nbsp;pia tumia sitz bath weka kwenye maji ya...
  11. O

    Ninaomba uzoefu kwa hili!

    Hilo usihofu kwani mtoto hafundishwi kulia,Adamu na Eva walianza vipi? hata hivyo ni vizuri kusoma vitabu mbalimbali vinavyohusiana na maandalizi kabla ya ndoa vyingi vimeeleza hasa maandalizi anayotakiwa mmeo akufanyie kabla ya kumega mkate ili uweze kufika kileleni,pia na wajibu wako...
  12. O

    Bikira miaka 30

    HOpe 2 nilichomaanisha hapo ni kwamba hatakuwa na kumbukumbu ya kufanya ngono na wanaume wengine na kutaka afanyiwe kama alivyofanyiwa na z.kabla ya kuwa na mmewe,vinginevyo maumivu yapo lakini maumivu ni kitu gani,mfano mama hulia kwa uchungu wakati akijifugua mara mtoto akitoka hufurahia na...
  13. O

    Mwanamke mjamzito kupata kichefuchefu na kutapika: Chanzo na tiba yake

    Hakuna shida ujumbe niliuelekeza kwa mhusika ndo maana nikasema she,hata hivyo wewe na yeye ni mwili mmoja mnaweza tumia she/he kwa pamoja maadam hakuna madhara.
  14. O

    Mwanamke mjamzito kupata kichefuchefu na kutapika: Chanzo na tiba yake

    Dada walichokuambia ni ukweli kabisa ni mambo ya kawaida ukiwa mjamzito acha mawazo jitahidi kunywa maji,juice, na kula vyakutosha wakati unapoacha kutapika kurudisha maji na madini unayopoteza ukitapika.
  15. O

    Mwanamke mjamzito kupata kichefuchefu na kutapika: Chanzo na tiba yake

    Kwa kweli dawa ya kutibu kuacha kutabikakwa mjamzito ni ngumu kwa sabababu ni mabadiriko ya hormone kwenye mwili,cha msingi hospitali wakupe dawa za kuzuia kutapika,atumie machungwa,akitapika sana nenda waongeze drip,vinginevyo ni kwa miujiza ya Mungu.
Back
Top Bottom