pole sana tatizo la kuwasha baada ya kutumia kwinini ni side effect yake, ila inaisha kadri dawa uliyotumia inapungua nguvu yake mwilini,hivyo kuwasha kutaisha kwenyewe labda kama itaendelea kwa siku kadhaa ni vema kurudi kwa dk.side effects zingine zinazoweza kutokea baada ya kutumia kwinini ni kichefuchefu,kutapika,mwili kulegea,kupungua sukari mwilini,kuacha kusikia vizuri,kusikia makerere kwenye masikio,kukosa hamu ya chakula,kizunguzungu,kuwasha mwili,kutoona vizuri, nk.zote hizi side effects huisha bila kutumia dawa yeyote,cha msingi zingatia msosi,matunda na kunywa maji ya kutosha.
nimemaliza quinene vidonge juzi.Mwili unawasha sana. Tatizo ni nini?msaada tafadhali
nimemaliza quinene vidonge juzi.Mwili unawasha sana. Tatizo ni nini?msaada tafadhali