Recent content by Omgimba

  1. O

    Rais Magufuli afanya ibada Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay

    Haya ni mambo binafsi sana. Ila kiutaratibu MTU anayepokea ekarist takatifu huwa anategemewa awe ametubu ( hana dhambi). Pia ekarist takatifu hutolewa ktk ibada na mpokeaji lazima awe ni Mkatoliki aliyebatizwa. I stend to be corrected.
  2. O

    Gharama kubwa za Bima: NHIF yatoa ufafanuzi. Ni baada ya wadau kulalamika...

    Kwa nia njema tu naomba utoe majibu ya haya maswali yako. Unaweza kuwa umewasaidia wachangiaji (wasomaji) wengi sana wa mada hii.
  3. O

    Gharama kubwa za Bima: NHIF yatoa ufafanuzi. Ni baada ya wadau kulalamika...

    KWA KUONGEZEA: PSPF kwa sasa hawatoi hiyo Huduma ya bima ya NHIF. Badala yake wanakuunganisha kwa Jubilee kwa Tsh.177,000/= Ndg yangu alikuwa mnufaika wa bima ya NHIF kupitia PSPF alipoenda ku-renew akaambiwa aunganishwe Jubilee kwa kuwa mkataba wao na NHIF umesitishwa. Mojawapo ya masharti ya...
  4. O

    Tundu Lissu apinga vikali adhabu ya Mdee na Bulaya

    Sijakuelewa mkuu? Unamaanisha ukiwa daktari hutakiwi kuogopa (kujihadhari na) ugonjwa wowote hata kama ni HIV, kimeta au kipindupindu kwa kuwa u-dokta utajitibu na kupona.
  5. O

    Je, kuna sheria kamati ya nidhamu kumvua mtu ubunge?

    Kwa mie bush lawyer naona haiwezekani. Ngoja tuone wataalamu watasemaje.
  6. O

    Mabere Nyaucho Marando katupwa wapi?

    Yupo ndugu, juzi alionekana CDM makao makuu akisaini ktk kitabu cha msiba wa Ndesapesa.
  7. O

    Fred Mpendazoe: Siwaelewi Tundu Lissu na CHADEMA

    Nilidhani huenda nawe ni GT. Kumbe huna tofauti na unaowalaumu. Umethibitishaje kuwa hao unaowalaumu ni wa (ama wanatoka) Ufipa. Kwa maoni yako kila anayeipinga CCM/selikari ni mwanachama CDM
  8. O

    Kuna nini wasomi wanaibuka na kuwatetea wezi?

    Kwa hiyo wanyamaze tu hata kama nchi inaingia ktk korongo eti kisa hawakusema/walisema hawakusikilizwa?
  9. O

    Ushauri:Namna ya kudeal na ACACIA na makampuni ya madini na nishati kama nchi

    Hivi hii tume ilipewa muda gani na itatoa report yake lini?
  10. O

    Ripoti ya CAG: Mkataba wa Mlimani City na Chuo Kikuu cha UDSM ni wizi mtupu

    Nadhani wataalam wetu wasilaumiwe. Wapo watu wasiojulikana walifanya yao (yasiyojulikana)
  11. O

    Lowassa amkwamisha Makongoro Nyerere

    Asante kwa taarifa. Ninachojua Mimi ni kuwa wagombea wote walikuwa na haki sawa, namaanisha haikuwa lazima achaguliwe makongoro. Na hata ukiangalia walivyojinadi Makongoro hakuwa serious.
  12. O

    Zitto Kabwe: Kila wakipanga kuniteka wanakuta mti wa mrumba au Bwawa la karosho au ziwa Tanganyika

    Jitahidi kuwa unatoa taarifa iliyokamilika. Gazeti la lini? Umeshindwa kuweka hata picha ya hilo gazeti kama ushahidi.
  13. O

    Ushauri wangu kwa CHADEMA kuhusu uchaguzi EALA

    Regina alikataa ubunge wa kuteuliwa kupitia CDM nadhani sababu zake bado ziko valid. Kwa sumaye itakuwa demotion.
  14. O

    Spika awataka Freeman Mbowe na Halima Mdee wafike mbele ya Kamati ya Maadili. Matusi yawagharimu

    Hapa wewe unaongelea wapi? maana silioni sanduku la kura hapahapa.
  15. O

    Uharamu wa mchakato EALA, CHADEMA wako right

    Hairuhusiwi. Unachotakiwa kufanya ni kuweka alama ya vema kwa mgombea unayemtaka na si vinginevyo.Kwa yule usiyemtaka unapaacha wazi.
Back
Top Bottom