vyuo vitaanza kufunguliwa tarehe 16 mwezi wa 11 na mikopo itaanza kutolewa tarehe 10 mwezi wa kumi na moja, shida yangu ni kwamba je ikitokea umekosa round zote, na muda wa kuwasili vyuoni umefika?
Serikali hii ya wanyonge haioni kwamba wanafunzi wengi watashindwa kuwasili vyuoni?
Rejea kichwa cha habari hapo juu!!! au ndo wametupotezea?
HESLB kuna watu wamerekebisha makosa yao ila bado wameandikiwa invalid kwenye account zao je hii ni kwanini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.