P Accountant
JF-Expert Member
- Sep 26, 2020
- 369
- 169
Mkopo huwa una awamu tofaut, inawezekana kesho ikatoka first batch. Hadi awamu ya pili zaidi ya wanafunzi 80000+ wamepata vyuo.Sidhani kama watatoa kesho, nadhani hadi confirmation za round 3 zikamilike.
Sent using Jamii Forums mobile app