Recent content by omben

  1. omben

    Tatizo la gari kutetemeka kwenye speed likifika speed ya 70kph hadi 80kph

    Unatumia magurudumu/tairi ya kampuni gani Unatumia magurudumu/ tairi ya kampuni gani. Na zinamuda gani toka uzinunue, pia angalia na joint
  2. omben

    Biashara ya mchele kutoa Tunduma kupeleka Zambia

    Mpaka leo hii nimedhurumiwa kiasi cha Kwacha.45,000/=.
  3. omben

    Biashara ya mchele kutoa Tunduma kupeleka Zambia

    Kwacha inashuka kila kukicha
  4. omben

    Mafuta ya Safi na Korie yanatokana na Alizeti gani inayoganda?

    Sawa kabisa na yameandikwa kabisa kuwa ni mawese. Na yale ya alizeti inaitwa korie sundrop( sunflower )
  5. omben

    Kama kuna hujuma zilifanyika kuondoa tambi za Santa Lucia, wametukosea sana

    Tambi za santa lucia zilizokuwa zinatoka hazipo kwa sasa. Unazozikuta sokoni zinatengezwa na kampuni ya Murzah naona aliomba kibali cha kutengeza kwa kutumia jina Santalucia
  6. omben

    Vita ya Wabena na Wakinga

    Mkinga na mbena ni mtu mmoja. Na wote tambiko lao kuu ni pale nyumba nitu. Ikawaje wakagombana mtu na mzazi .
  7. omben

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Ahsante sana kwa burudani ya hadithi nzuri. singanojr
  8. omben

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Ahsante kwa burudani. Ubarikiwe
  9. omben

    Kila mwenye kuvuta pumzi ya bure, na apite hapa kusifu na kushukuru

    Zaburi 150:1-6 [1]Haleluya. Msifuni Mungu katika patakatifu pake; Msifuni katika anga la uweza wake. [2]Msifuni kwa matendo yake makuu; Msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake. [3]Msifuni kwa mvumo wa baragumu; Msifuni kwa kinanda na kinubi; [4]Msifuni kwa matari na kucheza; Msifuni kwa...
  10. omben

    Mwanaume wa kibongo njoo hapa mtueleze kwanini unamtongoza mwanamke saa moja mbele eti unataka tunda

    Umenikumbusha wiki tatu zilizopita. Alinipa namba yake nami nikampatia yangu. Baada ya muda kama saa moja nikakuta sms ikisema. “ Samahani naomba unisaidie shilingi 20,000, nimpeleke mama hospital BP imepanda na hapa sina pesa nitakurudishia mwishoni mwa mwezi. Nakushukuru kwa msaada wako kama...
  11. omben

    Jana nimetembea Kilometa 43 kwa miguu

    Hapana alikuwa hakimbii. Maana mimi natembea kilia siku jion umbali wa km 6 kwa saa.
  12. omben

    Msaada: Nateseka sana na huu ugonjwa wa mfumo wangu wa mkojo

    Jaribu kufanya vipimo vya tezidume. Sent from my E6883 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom