Kuamua kuwa na mahusiano na mtu wakati huna pesa hiyo pekee ni risk tosha kabisa, sababu lolote laweza kukuta.
Ni wanawake wachache sana wana appreciate hiyo kitu, ki-bongo bongo wengiwao ni vichwa maji.
Imagine huna kazi, pesa au mambo yanakuendea vibaya, linatokea jambo unaamua ku-risk mambo...