Si ndio hapo mwanafizikia anakosaje kupata Gravitation ya nyege?
Nilijua lazima usagaji uhusishwe lol.Kuna mmoja alikuwa na hizi pigo.. ila kuja kuchimba deep down... alshawahi kushiriki mambo ya usagaji back then.. ko feeling za mapnz na jinsia Me alikuwa anajikaza tu ile feeling hapati kbsaaaa lakini ndo ivo yupo kwenye ndoa
Huruma kwao unromantic 'gelozi'
Hii hoja inaushawishi wa asilimia nyingi.Kuna mmoja alikuwa na hizi pigo.. ila kuja kuchimba deep down... alshawahi kushiriki mambo ya usagaji back then.. ko feeling za mapnz na jinsia Me alikuwa anajikaza tu ile feeling hapati kbsaaaa lakini ndo ivo yupo kwenye ndoa
na wewe ni muathirika au shuhuda wa hili... funguka tu mkuuNilijua lazima usagaji uhusishwe lol.
Nimeelezea karibia kila kipengere ulichouliza ungerudi tena kusoma nimeshajibu mapema mkuu,au kama una la kuongezea pia.Mwanamke huanza kuandaliwa mapema.
Je mwanaume yupo romantic
Ana vimsg vya mahaba
Simu za mahaba kwa mkewe
Maongezi ya mahaba????
Ushajua mkeo hayupo romantic mturn on!!!
Pia mumewe ajiulize je mke aliwahi kumfumania? Iwe live au thr simu?
Mke ashawahi kujua mumewe anachepuka? Wengine wakijua hilo wanaua hisia zao.
KabisaUNYUMBA
ni sehemu ya maumbile ya mwanadamu, ukiona kuna mtu ajishughulishi nalo ni mgonjwa huyo .
ni kama kula chakula, huwezi sema eti niko bize sana kiasi sili chakula. mara ya mwisho kula ilikuwa siku ya maadhiminisho ya uhuru.
Upungufu wa homon
Kuwa na historia ya kunyanyaswa kingono hasa katika umri mdogo lakini muhusika akiwa ni mwenye kujitambuwa.
Kuwa na historia ya kusalitiwa
Mapenzi ya jinsia moja
Kuwa na mtu asiye chaguo lake
Namna unavyo mtreat kwenye tendo inaweza mfanya kulipenda tendo au kulichukia.
Hapana hata.na wewe ni muathirika au shuhuda wa hili... funguka tu mkuu