Recent content by Omar Mzungwe

  1. Omar Mzungwe

    Wakaka hivi wadada tunapokuja kwenu alafu mnatuacha tunaondoka hivihivi huwa mnamaana gani?

    Naona siku hiyo alikua hana mapene naona na wewe unataka jaza ujazwe
  2. Omar Mzungwe

    Nahitaji mpenzi lakini awe ngozi nyeupe

    Haya njoo kwangu mie wa blue
  3. Omar Mzungwe

    Wanawake wa kitanga watamu jamani

    Aaaaa sihivyo usemamavo mapenzi ni uwanja upana labda ulibahatika wewe lakini sikiivo
  4. Omar Mzungwe

    Balozi atamani kumpeleka Rais Magufuli Marekani kwa wiki tano

    Hakuna mtu wa kuchukua atamalizia mwenyewe
  5. Omar Mzungwe

    Sijapata wa kunipenda, hili gundu au?

    Bora wewe ulieleta poroja za mapenzi umetupumzisha kidogo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Omar Mzungwe

    Habari Njema kuhusu Tundu Lissu: Atoka chumba cha upasuaji akiwa vema

    Nimekusoma mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Omar Mzungwe

    Baada ya kuufikisha huu mzigo geto nimeishiwa nguvu nikazimia ghafla

    Acha kuchukua wanawake baa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Omar Mzungwe

    Kwanini CHADEMA inachangisha hela ya matibabu ya Lissu?

    Unachangwaje mbona mi sijasikia niambieni inavyochangwa nami nichange Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Omar Mzungwe

    Je, bado Serikali ina sababu ya kulifungia gazeti LA Mseto?

    Naona ipigwe penalti Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Omar Mzungwe

    Kwa watumiaji wa whatsapp messenger

    Watu watatuma mzigo wewe ukikaa sawa utaukuta mzigo wako Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Omar Mzungwe

    LESOTHO: Kamanda wa Jeshi auwawa kwa kupigwa risasi na wanajeshi wenzake walioachishwa kazi

    Ukifukuzwa ndio uue nenda mahakamani Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Omar Mzungwe

    Hivi inakuwaje mwanamke anafikisha miaka 40 hajaolewa na bado anaishi nyumba ya familia?

    Anadharau wanaume au anawanyanyapaa alipokua na umri mdogo sasa anawaitaji umri umekua mkubwa na sasa zamu ya me hawamtaki mkubwa (mzee) Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Omar Mzungwe

    Kenya: Jaji Mkuu amjibu Kenyatta. Nendeni mkashindane kwenye uchaguzi

    Bado naona gumbizi hiyo nguvu yakutengua kaipata wapi Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Omar Mzungwe

    Kataa ukubali chanzo cha kuchepuka ni sababu ya papuchi kuzidiana utamu

    Nazeeka sasa sijaona hiyo papuchi tamu ingawa nimepitia nyingi kidogo Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Omar Mzungwe

    Prof. Kitila: Demokrasia ya Kenya sio tunda la hisani au roho nzuri ya Rais aliyepo madarakani

    Jaji kaigharamisha nchi Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom