Wanawake wa kitanga watamu jamani

Wanawake wa kitanga watamu jamani

wale watam kwa mapenzi but hawajui how to manage pesa wao n kutumia tyyuuuuu tafta mchaga ww utajirke
 
wale watam kwa mapenzi but hawajui how to manage pesa wao n kutumia tyyuuuuu tafta mchaga ww utajirke

Hahaa mkuu usiombe uoe huyo unayemsifia unapigwa mswaki Wiki 3 hujaona ndani. Niwabaridi sana hakuna Love kabisàaaaaaaa. If you want frustration go that way!!!
 
Aaaaa sihivyo usemamavo mapenzi ni uwanja upana labda ulibahatika wewe lakini sikiivo
 
hahaha, Tanga kitu gan gan bhna me nmeoa mnyakyusa ananipenda hatar
 
Naskia hadi mahari ni bei poa sana,
Mbuzi kumi nambili ambapo kila mbuzi mmoja ni buku sita tuhhhh.

12×6000= 72000Tsh
Tayari chombo kipo ndani.

Siyo makabila mengine bila 2millioni hutoki na mtoto, unafikiri unaenda kununua "CATERPILLAR"
hasa hasa kanda zileee, wanatabia ya kuuliza mtoto wakike kwani uliye mpenda kwao ni matajiri.

Inaboaa kwa waoaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom