Recent content by olunde

  1. O

    Waziri Kabudi, mpinzani wako katika majadiliano na Barrick ni Komandoo wa Jeshi

    Kwa maprofesa wa kijinga wa kibongo hawa mtegemee maneno mengiiii lkn hamna llt..waliosaini mkataba ni ccm wanaosuluhisha ni ccm..unategemea nn hapo
  2. O

    Serikali yakanusha Madai ya CHADEMA kwamba hakuna Viwanda Vipya awamu hii, imesajili viwanda 2,536

    Labada kama hivyo viwanda vimejengwa nje ya nchi au peponi..tokea magufuli aingie uongozini wananchi tunaskia kelele tu hatuoni la maana ni kelele...magufuli anapiga kelele tupu na usanii mwingi
  3. O

    Hizi hapa links za kufanyia applications ya vyuo mbalimbali

    si ni chuo cha vilaza, lazima ipokee vilaza wengi maana huko ndio eneo lao linalowafaa sana
  4. O

    TCU watoa mwongozo wa gharama za kufanya applications ya kujiunga chuo Kikuu 2017/18

    kuwa na akili angalia hy barua kwa makini km ni ya TCU
  5. O

    TCU watoa mwongozo wa gharama za kufanya applications ya kujiunga chuo Kikuu 2017/18

    Watanzania wengi ni wajinga ndio maana wanakubaliana na vitu feki kama hivi..yaani wajinga wameamua kusapoti huu ujinga wa kutunga kamba ni sahh...nendeni kwenye website ya TCU km kuna kituko hicho.. Pili fuatilieni mfumo mzima unatumiwa na TCU kutoa taarifa zao km zimekaa kijinga hvyo..yaani...
  6. O

    UDSM mbona baada ya kupokea pesa mnazingua?

    Kutokea jana nimetuma pesa kwenye akaunti ya UDSM kwa njia ya MPESA shilingi elfu 20,000 lakini hadi leo ninaonekana sijalipa na ujumbe ni ule ule wakati walitoa taarifa kwamba tovuti yao itajibadili automatic ukishalipa na kukuruhusu uendelee na maombi. Kwa wizi huu kesho nina amkia UDSM bila...
  7. O

    UDSM mbona baada ya kupokea pesa mfumo wenu unazingua?

    Tokea jana nimetuma pesa kwenye akaunti ya UDSM kwa njia ya MPESA shilingi elf 20000 lakini hadi leo ninaonekana sijalipa na ujumbe ni ule ule wkt walitoa taarifa kwamba tovuti yao itajibadili automatic ukishalipa na kukuruhusu uendelee na maombi....kwa uwizi huu kesho nina amkia UDSM bila hiyana.
  8. O

    Rais Magufuli azindua kiwanda cha Saruji cha Dangote, ataka Dangote apewe eneo la kuchimba Makaa

    HV hapo umeandika mawazo yako au ni ya MTU....magufuli hana llt,we jipendekeze tu
  9. O

    Nape Nnauye: Unawezaje kumtaarifu Muuza Dawa za Kulevya kuwa unataka kumkamata?

    right kwa sheria gn???usiongozwe na hisia
  10. O

    Vita ya Dawa za Kulevya: Steve Nyerere alivyopiga kambi Bungeni Kumuokoa Wema Sepetu

    ni kweli anafanya kz kubwa ya kuigiza na kufanya usanii...ss tutamdai vingi 2020 mpeni kiburi mwehu atavunja hd tv
  11. O

    Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

    Chapa kz chapa kz....hii ndo lugha y ccm lkn hkn kz mnayofany zaid ya maneno mengi.Tokea awamu hii ya usaniii waingie madarakn ni full filamu hkn kz
  12. O

    Tetesi: Makonda anajenga mtandao kujiandaa na urais 2025

    mende kwani we wajiona ni mtu
  13. O

    Ujumbe ndio ujumbe kwa serikali kuhusu ajira hasa za waalimu

    Ninaitwa Juma Hassan, kijana mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam-UDSM 2015 katika kitivo cha humanitia na sayansi ya jamii. Kutokana na hali ya serikali kupanga bajeti bungeni na kuipitisha kwamba wataajiri waalimu elfu 40 na baadaye kutuaminisha kwa kupitia tangazo lililotolewa na wizara...
  14. O

    Serikali haieleweki kabisa kuhusu ajira hasa za waalimu

    SERIKALI HAIELEWEKI KABISA KUHUSU AJIRA HASA ZA WAALIMU Ninaitwa Juma Hassan, kijana mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam-UDSM 2015 katika kitivo cha humanitia na sayansi ya jamii. Kutokana na hali ya serikali kupanga bajeti bungeni na kuipitisha kwamba wataajiri waalimu elfu 40 na baadaye...
  15. O

    Uchumi unakua, takwimu hazidanganyi

    uchumi unakua kwa wana ccm wezi ila sio kwa watanzani..hz tafiti za mezani pelekeni huko
Back
Top Bottom