Acha kututukana mkuu utajiri unaanza taratibu sana kuwa mpole boss afu siyo degree holder tu ata maprofesor ni maskini inategemea unatulinganisha na nani ebu kuwa specific boss apo ungeweka hivi SEVEN REASONS WHY DEGREE HOLDER ARE POOR UKITULINGANISHA NA WATU KAMA BILGET ila bilget na yeye ana...
[emoji23]kiongoz apa umezingua..... kila mtu atakula urefu wa kamba yake hakuna mtu alopangiwa awe masikini bhn ni sawa na kumwambia bakresa asimpe mwanae cheo kwenye kampuni yake kwasababu wewe unafanya kazi vizuri kuliko mwanae chamsingi nikupambana.... yani mpk tukisha umia sanaa na kuumiza...
Kusoma harvad siyo ndo kuwa raisi bora mzee au kusoma shule zinazoshika no moja hatutaki mtu anaefaulu mitiani darasani tunataka mtu anaepiga kazi atakae tutoa from point A kwenda B argument yako naona ni ya kitoto sana
Kaka hebu jaribu kutofautisha siasa na afya bhn katika chanjo zilizopita kuna chanjo watu waliwahi kuchanjwa wakaambiwaa ibapunguza uwezekano tu?
Mimi siyo doctor ila naona wakuu wengine wa idara ya afya wametulia wanasema ni waanasubiri kwanza mimi nani nimesoma biashara nihaaarakie haya...
Kwani chanjo inakufanya usiambukizwe tena? Kama wanavyosema kuwa inapunguza possibility kuadhirika na huu ugonjwa hata nikila mjtishamba na nikavaa barakoa napunguza pia huo uwezekano boss haya mambo siyo ya kuyaharakia sanaaa siwaambie msichanjwe hapana ila mimi bado boss.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.