Hello members
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuuu mwaka wa kwanza, nahitaji kazi, supermarket, au kuuza duka la nguo, vipodozi nk.
Education: DIPLOMA IN PUBLIC ADMINISTRATION
LOCATION DAR ES SALAAM
Hata kazi ya sales naweza.
Halafu nyie ndo mnaowapa pressure wenzenu, appeal kitu gani, badala ya kuwatia moyo watu unaleta habari za appeal akati majibu mpk kesho wanaendelea kutoa pesa
Me nishapata muda mrefu kaka, ila tupeane moyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.