Spiracle z
Member
- Jun 29, 2020
- 15
- 28
sali sana imani huvusha milima....
kijana update ilioko kwako ni usubirie kufanya appeal bas
kijana update ilioko kwako ni usubirie kufanya appeal bas
vigezo ni vile vipaumbele vya bodi ya mikopo kila mwaka wanavitaja kwenye muongozo wa utoaji mkopoYatima hola.
Hiyo vigezo ni vipi?tuacheni bana hizi
haimaanishi kuwa umekosa ila vuta subira na sala nyingiHaifunguki tena lkn mpka jana ilkua error
Halafu nyie ndo mnaowapa pressure wenzenu, appeal kitu gani, badala ya kuwatia moyo watu unaleta habari za appeal akati majibu mpk kesho wanaendelea kutoa pesakijana update ilioko kwako ni usubirie kufanya appeal bas
Since morning account imepoteza data haisom chochote zaid ya hikiMmeamkaje wote tulioambiwa wait for final results?
Jamani Mimi naona kama wengi wetu tuliokosa mpaka hivi sasa ni equivalent applicants kutoka diploma au mnaonaje?
🥲Na wewe umejipangaje ukikosa hiyo kesho
Ni mda gani umeingia kwa account yako.?Since morning account imepoteza data haisom chochote zaid ya hiki View attachment 2802977
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Vizuri sanaHalafu nyie ndo mnaowapa pressure wenzenu, appeal kitu gani, badala ya kuwatia moyo watu unaleta habari za appeal akati majibu mpk kesho wanaendelea kutoa pesa
Me nishapata muda mrefu kaka, ila tupeane moyo
Kwenye ku-appeal ni vitu gani watataka uambatanishe? Na kama akaunti bado inasoma .... wait for final results hadi siku ya kuanza ku-appeal unaweza ku-appeal au hadi upate notification tofauti na hiyo ya wait for final results?kijana update ilioko kwako ni usubirie kufanya appeal bas
Relax, wee pesa watakuwekea, tulia na maombi Kwa wingiKwenye ku-appeal ni vitu gani watataka uambatanishe? Na kama akaunti bado inasoma .... wait for final results hadi siku ya kuanza ku-appeal unaweza ku-appeal au hadi upate notification tofauti na hiyo ya wait for final results?
Mhitaji siyo mimi. Huko mimi nilishatoka miaka mingi sana. Nafuatilia kwa niaba ya mtu wangu wa karibu.Relax, wee pesa watakuwekea, tulia na maombi Kwa wingi
Kumpa mtu moyo ndo kitu bodi wanawafanyia watu huku wakiwapa matumaini yasiyo timika bora kujiandaa kwa lolote kuliko kukaa chini kutegemea bodi itafanya kitu cha tofauti zaidi .Halafu nyie ndo mnaowapa pressure wenzenu, appeal kitu gani, badala ya kuwatia moyo watu unaleta habari za appeal akati majibu mpk kesho wanaendelea kutoa pesa
Me nishapata muda mrefu kaka, ila tupeane moyo
Watu wa bodi wanapita humu,
Ni vyema kama mtu hana sifa za kupata mkopo bora tu waseme mapema, sio kusubiria hadi tarehe ya mwisho while mnajua kabisa hatapata. Hii yaweza saidia watu kutafuta alternative mapema kuliko kubaki na ....." wait for final, wait for final na mwishowe iwe hok
Endelea kutembelea akaunti yako mpaka siku ya kukata rufaa(appeal).Kwenye ku-appeal ni vitu gani watataka uambatanishe? Na kama akaunti bado inasoma .... wait for final results hadi siku ya kuanza ku-appeal unaweza ku-appeal au hadi upate notification tofauti na hiyo ya wait for final results?