Kwanza pole Sana ndgu kwa kupotoshwa kuwa open haitambuliki mm degree ya kwanza nimepiga open na nimeajiriwa serikalini na mwakan napiga masters hapo hapo OUT me nikuashauri kuwa swala la ajira linaangalia uwezo wako kwenye interview na sio umesoma chuo gani pia angalia rank za vyuo vikuu dunian...
Hebu tuchambue sasa kwa mahitaji ya kijamii Kama shule hospitali Barbara na huduma ya maji ..
Kielimu moshi Ina shule nyingi Sana za sekondari na vyuo vya ufundi pamoja na vyuo vikuu
Kuhisu afya moshi in a hospitali ya mkoa pamoja na rufaa ya Kcmc poa huduma ya barabara lami mpaka vijijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.