Habari za leo Wajamvi wa JF
Naomba kama kuna mtu mwenye uelewa na taarifa za uhakika Bodi ya Mikopo Tanzania (HESLB) au kuhusu Ufadhili wa wowote wa kusoma SHAHADA ya UZAMILI anipatie kwa haraka. Nilisomea BSc Wildlife Mgt na G.P.A yangu ni 3.4.
Namba za mawasiliano ni 0786224248
Habari Wana JF. Mimi ni binti, natafuta Kazi inayoendana na elimu yangu. Nina BSc. Agricultural Economics & Agribussiness kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine..SUA. Naweza fanya pia Researches, Bank Credits, Customer Care etc. Kwa mawasiliano 0786224248.
N:B Accepts serious calls only
related to the...
Habari Mwana JF!! Je unataka kiwanja cha kujenga nyumba Arusha?? Eneo la Nduruma umbali wa 1Km kutoka Nduruma Stand, (35m×70m) milioni 4.5. Kiwanja Arusha Manispaa (20m×25m) milioni 10. Maji, Umeme na barabara zipo. Karibu na wekeza Arusha!! Mawasiliano 0786224248
Habari Wana JF!! Viwanja vinauzwa Arusha Manispaa karibu na kiwanda cha A to Z. Bei ya kiwanja kimoja (20m×25m) ni Milioni 10. Vipo viwanjwa 3 vilivyoungana pamoja. Njoo wekeza maisha ya familia yako Arusha...umeme, maji na barabara zipo. Umbali ni 1Km kutoka barabara ya lami, 6Km kutoka uwanja...
Mkuu hatuangalii kuwa na pesa mkononi...9millioni...ishu ni bei. Kwa hela yako Mkuu...hatatosha, milioni 8 haitoki. Mwenye milioni 9.5 tunaweza kujadili naye.
Lete hoja nyingine Mzee...hii ni batili. Sorry...Wana JF kwa mjadala huu...coz lazima ifike mahala tuambiane UKWELI...kwani utatuweka....HURU, kuja na kuliona eneo husika.
Hahahahaa...nikusaidie tu, maeneo ya Ngulelo na Meru...zipo kwenye Ecologia ya Arusha National Park...afu ni Mountanious region. Jamani wasomi wenzangu...hv maeneo yaliyo karibu na milima...inatabia gani?? Huyu MSOMI anataka kutuambia...tutarajie hayo maeneo yafanane na maeneo tambarare. Na...
Mim sio dalali...futa kauli yako. Sio kila mtu anayekuja huku kuuza viwanja ni dalali. Afu...cjui kama unaufahamu wa kuita eneo jangwa!! Yaan...unipe tabia za eneo kuitwa jangwa...ndio nitajua USOMI wako na uelewa wa maeneo ya A to Z upo vzr. Yaan...wazungu waje wawekeze sehemu ya jangwa...isio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.