Wanaume mabonge kulikoni?

Wanaume mabonge kulikoni?

Hasa akiwa kuku wa kienyeji ...... urmi ila jioni anarejea mwenyewe bandani bila kumtafuta tena kabla jua halijazama
wale jamaa waliimba "supu ys kuku wa kinyeji ni tamu sana"
 
Angalia hii.... Hata clip ya fumanizi ninayo
IMG-20181128-WA0016.jpeg
 
wale jamaa waliimba "supu ys kuku wa kinyeji ni tamu sana"

Aahahahahaa ndo hivyo kila package inakuja na vimbwanga vyake. Utamu unapata ila ndo hivo kuchokoa chokoa porini heheheheh
 
Habari wanajamvi?

Ukifuatilia kwa makini fumanizi nyingi zinazotokea mjini, utakuta aliefumaniwa ni mke wa jamaa bonge bonge na ana kitambi cha utapiamlo. Sasa ukiwa bonge kuna shida gani haswa mpaka mke anaenda kugongwa kwingine?

Mimi mwili unaongezeka nimeamua kufanya mazoezi ya kufa mtu maana hii hali inatishia amani. Na nyie wadada hebu tuambieni kwanini mnatutenda sisi vibonge?
Kwan mtu akinenepa na Dushe c inanenepa au inakua vice vesa....?
 
Habari wanajamvi?

Ukifuatilia kwa makini fumanizi nyingi zinazotokea mjini, utakuta aliefumaniwa ni mke wa jamaa bonge bonge na ana kitambi cha utapiamlo. Sasa ukiwa bonge kuna shida gani haswa mpaka mke anaenda kugongwa kwingine?

Mimi mwili unaongezeka nimeamua kufanya mazoezi ya kufa mtu maana hii hali inatishia amani. Na nyie wadada hebu tuambieni kwanini mnatutenda sisi vibonge?
Kwan mtu akinenepa na Dushe c inanenepa au inakua vice vesa....?
 
Back
Top Bottom