Usishindwe kujenga ramani ya bure

Usishindwe kujenga ramani ya bure

Okay nipe mchakato wa Murieti installments zake.
Mfano kiwanja 6M unaweza kulipa zote,au unatoa 3M baada ya miezi 6 unakamilisha;cha muhimu unaingia mkataba na muuzaji/mwenye eneo (mi nimenufaika kwa njia hii viwanja kadhaa Arusha na Dar)
 
Mfano kiwanja 6M unaweza kulipa zote,au unatoa 3M baada ya miezi 6 unakamilisha;cha muhimu unaingia mkataba na muuzaji/mwenye eneo (mi nimenufaika kwa njia hii viwanja kadhaa Arusha na Dar)
Ok ngoja nikiweka mzigo kibindoni ntakutafuta nikavione.
 
Nimetoa ramani (floor plan) ina details zote kila kitu ushindwe mwenyewe kujenga...Chukua yote,kama kuna sehemu utashindwa kuelewa micheck PM and I won't charge you....nut sections na baadhi ya michoro haijaandaliwa,ridhika tu na hiyo plan
NB.Iko katika mfumo wa PDF ili details zionekane vizuri
Ungeweka nA BOQ yake
 
Mungu akubariki saana Sana. Ulichokifanya Mungu atakiongeza hadi ushangae, Mungu akajibu haja ya moyo wako, akuponye na Magonjwa, Vita, Shida na taabu. Utakachogusa kikabarikiwe. Una Roho ya ajabu saana, wengine wanachaji watu hata Kwa kuomba Msaada tu
 
Mungu akubariki saana Sana. Ulichokifanya Mungu atakiongeza hadi ushangae, Mungu akajibu haja ya moyo wako, akuponye na Magonjwa, Vita, Shida na taabu. Utakachogusa kikabarikiwe. Una Roho ya ajabu saana, wengine wanachaji watu hata Kwa kuomba Msaada tu
Shukrani mkuu nawe pia ubarikiwe na uwe mwenye afya njema
 
Mungu akubariki saana Sana. Ulichokifanya Mungu atakiongeza hadi ushangae, Mungu akajibu haja ya moyo wako, akuponye na Magonjwa, Vita, Shida na taabu. Utakachogusa kikabarikiwe. Una Roho ya ajabu saana, wengine wanachaji watu hata Kwa kuomba Msaada tu
Ulivyojibu umenigusa utafikiri unananiona nilivyokaa kwenye foreni ya hospitali kumsubiri DOCTOR kwa huduma...Maombi yako yatimie
 
Mimi nimeandika nikiamini hivyo tu, na Yametoka Moyoni nikimaanisha, hatufahamiani Kwahio amini pia!
Ulivyojibu umenigusa utafikiri unananiona nilivyokaa kwenye foreni ya hospitali kumsubiri DOCTOR kwa huduma...Maombi yako yatimie
 
Nimeona baadhi ya watu wanahitaji viwanja,vya kujenga karibuni nnavuwanja kama nane vimebaki..viko kisalawe 2 nyuma ya kiwanda cha Maji cha water com.. Kabla ya kufika dar zoo karibuni viko affordable sana usiogope!!
 
Back
Top Bottom