- Thread starter
- #41
Hahahahaa...nikusaidie tu, maeneo ya Ngulelo na Meru...zipo kwenye Ecologia ya Arusha National Park...afu ni Mountanious region. Jamani wasomi wenzangu...hv maeneo yaliyo karibu na milima...inatabia gani?? Huyu MSOMI anataka kutuambia...tutarajie hayo maeneo yafanane na maeneo tambarare. Na umbali wa Ngulelo na A to Z haifiki hata 15Km. Hzo mvua zinazopita Mt Meru unataka kuniambia haifikagi Kisongo????naona umemaind sana, hii biashara ya udalali huiwezi kama huna hoja, Arusha yote tunaifahamu, hivi maeneo hayo utalinganisha naNgulelo, kwa Mrefu na Meru?
narudia..hilo eneo ni jangwa haijalishi kuwa maji ya bomba yanapatikana