Viwanja Vinauzwa Arusha Manispaa!!

Viwanja Vinauzwa Arusha Manispaa!!

Hivi kule mkuu ni kuzuri ehh....

Maana huwa naona kunataka kuja fanana kama Kwa mromboo....
Kwa kweli kule ni kuzuri na ardhi zimepangwa vizuri. Hata ukinunua 10x10 unapata njia ya Gari kufika kwako.
 
Bei ni fixed au kuna room ya kujadili kidogo?
 
Nane unachukua,kipo kimoja kesho naenda kukilipia tukijaliwa uzima
 
Bei ya viwanja itarudi kuwa ya chini hadi maendeleo ya nchi miaka mingi ijayo ibadilike. Niliwahi kuona nyumba ya kawaida sana pale uppanga inauzwa na MTU akapewa billion 10(10,000,000,000/_) tz shs. Sasa kama sio kutakatisha fedha ya mihadarati unajenga kitu gani cha kurudisha hiyo fedha? Tutarudi kwenye uhalisia huko tuendako. Siwaonei wivu wenye hizo hela ila natoa picha tulikofikia hapo nyuma kidogo. Na wala sina nia kusupport deflation hii tunayopitia sasa hivi,
 
Atlas unauza kiwanja kipi?? Coz mjadala upo kwenye viwanja vya karibu na A to Z. Kwa Morombo...andikia dokezo lingine watajitokeza wadau wa kununua...sio mahali pake hapa.
Nane unachukua,kipo kimoja kesho naenda kukilipia tukijaliwa uzima
 
Kwa kweli kule ni kuzuri na ardhi zimepangwa vizuri. Hata ukinunua 10x10 unapata njia ya Gari kufika kwako.
Unamdanganya mwenzako kule ujenzi ni chumba kimoja ikizidi ni chumba na sebule.. Nimepazunguka mpaka nikafika Mkonoo
 
Bei ya viwanja itarudi kuwa ya chini hadi maendeleo ya nchi miaka mingi ijayo ibadilike. Niliwahi kuona nyumba ya kawaida sana pale uppanga inauzwa na MTU akapewa billion 10(10,000,000,000/_) tz shs. Sasa kama sio kutakatisha fedha ya mihadarati unajenga kitu gani cha kurudisha hiyo fedha? Tutarudi kwenye uhalisia huko tuendako. Siwaonei wivu wenye hizo hela ila natoa picha tulikofikia hapo nyuma kidogo. Na wala sina nia kusupport deflation hii tunayopitia sasa hivi,
Mkuu...elewa kwamba, dhamani ya Ardhi inategemeana na sehemu/eneo ilipo. Kuna viwanja unaweza kuuziwa hata zaidi ya 10Bilion...kama ipo mjini labda...coz unaweza pandisha gorofa kadhaa hapo...na bado hukuna hasara kwasababu ni kitu cha kudumu. Investment returns depends on time & bussiness or invested assets.
 
ukame mno, udongo sio mzuri
Kwa taarifa kwa Umma...kama ukija kuona ukakuta udongo si mzr, hzo Milion 10 mm nitakupa zingine...yaan sehemu ambayo Kiwanda kimewekeza Mabilioni ya pesa ndo sio nzuri...huu ni upupu Ndugu zangu...ignore it plz.
 
I think to my opinion, you needed to be send to Court to prove your statement beyond all reasonable doubt!!
naona umemaind sana, hii biashara ya udalali huiwezi kama huna hoja, Arusha yote tunaifahamu, hivi maeneo hayo utalinganisha naNgulelo, kwa Mrefu na Meru?
narudia..hilo eneo ni jangwa haijalishi kuwa maji ya bomba yanapatikana
 
naona umemaind sana, hii biashara ya udalali huiwezi kama huna hoja, Arusha yote tunaifahamu, hivi maeneo hayo utalinganisha naNgulelo, kwa Mrefu na Meru?
narudia..hilo eneo ni jangwa haijalishi kuwa maji ya bomba yanapatikana
Mim sio dalali...futa kauli yako. Sio kila mtu anayekuja huku kuuza viwanja ni dalali. Afu...cjui kama unaufahamu wa kuita eneo jangwa!! Yaan...unipe tabia za eneo kuitwa jangwa...ndio nitajua USOMI wako na uelewa wa maeneo ya A to Z upo vzr. Yaan...wazungu waje wawekeze sehemu ya jangwa...isio na maji...au unamaanisha nini. Wew dalali nn????
 
naona umemaind sana, hii biashara ya udalali huiwezi kama huna hoja, Arusha yote tunaifahamu, hivi maeneo hayo utalinganisha naNgulelo, kwa Mrefu na Meru?
narudia..hilo eneo ni jangwa haijalishi kuwa maji ya bomba yanapatikana
Ishu kubwa sio kubishana hapa...hutaki kaa kimya huna hela, wengine wenye nazo na mawazo CHANYA watakuja...watakagua...wakiridhikaaa...wanalipaaaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom