Naona wewe uko mahali isiyokufaa. Jitathmini alafu urudi kuchangia mada. Utumishi unahitaji ushauri maana hali halisi inajulikana. Anzia thread hii tangu mwanzo utaona thima na hoja ilipo.
Wewe una oppose badala ya kushauri unavyojua tuu. Mengine achana nayo
Sent from my SM-G532F using...
Private sector lazima ku deliver. Kwanza kuna makubaliano ya mishahara, vitendeakazi, motivation, guidlines, trainings nk. Serikalini ukiajiriwa unakabidhiwa ofisi ambayo hakuna samani, computer, wala chochote. Ukipata dharura ya kukosa pesa ya kula una ajaza form ambayo inapitia kwa mkuu wa...
Kama mishahara ni midogo na hawaridhiki nayo waache kazi wote. Waliyopo mtaani nao wakapate hicho kidogo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.