Mr_Teacher
JF-Expert Member
- Feb 28, 2021
- 362
- 334
SureKama mishahara ni midogo na hawaridhiki nayo waache kazi wote. Waliyopo mtaani nao wakapate hicho kidogo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
SureKama mishahara ni midogo na hawaridhiki nayo waache kazi wote. Waliyopo mtaani nao wakapate hicho kidogo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mbona mashirika binafsi wanalipwa pakubwa na wanadeliver?Hata wanaolipwa nying ndo wez wakubwa
Mashirika Binafsi kwanza monitoring yao iko vzr, lkn watu hawana job security hivo lazima a performMbona mashirika binafsi wanalipwa pakubwa na wanadeliver?
Hata serikalini wakiwezeshwa vizuri kwa kuwapa watumishi wao vitendea kazi na stahiki zingine na wakiwafanyia monitoring vizuri watumishi hao wataperform vyema na kudeliver kama wa sekta binafsi,hakuna kisichowezekanaMashirika Binafsi kwanza monitoring yao iko vzr, lkn watu hawana job security hivo lazima a perform
Private sector lazima ku deliver. Kwanza kuna makubaliano ya mishahara, vitendeakazi, motivation, guidlines, trainings nk. Serikalini ukiajiriwa unakabidhiwa ofisi ambayo hakuna samani, computer, wala chochote. Ukipata dharura ya kukosa pesa ya kula una ajaza form ambayo inapitia kwa mkuu wa idara hadi inafika uhasibu baada ya mwezi then ndio inarudi mpaka ikufikie utakuwa umeshapoteza kila kitu.Mashirika Binafsi kwanza monitoring yao iko vzr, lkn watu hawana job security hivo lazima a perform
Umeshasema waki......wezeshwa. kwa sasa hali mbaya mkuuHata serikalini wakiwezeshwa vizuri kwa kuwapa watumishi wao vitendea kazi na stahiki zingine na wakiwafanyia monitoring vizuri watumishi hao wataperform vyema na kudeliver kama wa sekta binafsi,hakuna kisichowezekana
Fuatilia conversion zetu vizuri,usikurupukeUmeshasema waki......wezeshwa. kwa sasa hali mbaya mkuu
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Naona wewe uko mahali isiyokufaa. Jitathmini alafu urudi kuchangia mada. Utumishi unahitaji ushauri maana hali halisi inajulikana. Anzia thread hii tangu mwanzo utaona thima na hoja ilipo.F
Fuatilia conversion zetu vizuri,usikurupuke
Hasira kali kweli. Tuwe waungwana wapendwa. Tusifokeane maana humu wote wastaarabMTU mwenye stress anawakawaka
HeeNaona wewe uko mahali isiyokufaa. Jitathmini alafu urudi kuchangia mada. Utumishi unahitaji ushauri maana hali halisi inajulikana. Anzia thread hii tangu mwanzo utaona thima na hoja ilipo.
Wewe una oppose badala ya kushauri unavyojua tuu. Mengine achana nayo
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
AbsolutelyPrivate sector lazima ku deliver. Kwanza kuna makubaliano ya mishahara, vitendeakazi, motivation, guidlines, trainings nk. Serikalini ukiajiriwa unakabidhiwa ofisi ambayo hakuna samani, computer, wala chochote. Ukipata dharura ya kukosa pesa ya kula una ajaza form ambayo inapitia kwa mkuu wa idara hadi inafika uhasibu baada ya mwezi then ndio inarudi mpaka ikufikie utakuwa umeshapoteza kila kitu.
Government is very bureauctratic kiasi kwamba kama huna msaada au personal financial strength unakimbia mwenyewe.
Kama nimekosea nakubali kukosolewa kistaarabi
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Ni sahihi, lakn ni lini Serikali yetu itafanya hivi? Mana ni kama kawaida ni kama desturiHata serikalini wakiwezeshwa vizuri kwa kuwapa watumishi wao vitendea kazi na stahiki zingine na wakiwafanyia monitoring vizuri watumishi hao wataperform vyema na kudeliver kama wa sekta binafsi,hakuna kisichowezekana
Isipofanya hvyo isiwalaumu watumishi pale wanaposhindwa kwa namna fulani kutekeleza majukumu yao vyema.Ni sahihi, lakn ni lini Serikali yetu itafanya hivi? Mana ni kama kawaida ni kama desturi
Ni kweli kabisa. Mifumo yote ya kiutendaji ni mibovu. Business as usualIsipofanya hvyo isiwalaumu watumishi pale wanaposhindwa kwa namna fulani kutekeleza majukumu yao vyema.
Lini sijui,ila chelewa chelewa utakuta mwana asiye wako.
Watumishi wa umma bado mazingira ya kazi si rafiki sana kwao,unakuta mtu ni Bwana shamba wa Kata yenye vijiji 5-7 hata piki piki tu na vitendea kazi vya msingi ni shida,unategemea huyu atatoa huduma wa wananchi vizuri kweli?
Nchi yetu ni bado sana.
SawaWalimu zaidi ya elfu hamsini (50,000) Tanzania nzima wanatarajiwa kupanda madaraja mawili mfululizo yanayotambulika kama madaraja ya mserereko.
Hatua hii inakuja baada ya mwaka 2016/2017 Watumishi wa umma kupandishwa madaraja lakini kukatokea zoezi la uhakiki hivyo waliokua wamepewa barua hizo kusitishiwa upandaji wa madaraja kwa Waalimu.
Katibu Mkuu wa CWT Deus Seif akiwa mkoani Iringa amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuamua kuwapandisha madaraja mawili Walimu hao waliyoyaita madaraja ya mserereko. #MillardAyoUPDATES
Hiyo post unayotaka kuomba hapa TPA zote 16 tayari zina watu.Naomba nijuwe mshahara wa tpgs 6 na allowance yao kwa anayejua