Recent content by oldonyo

  1. O

    FUNZO: Hata Magesa Mulongo alipata kuwa Mkuu wa Mkoa

    Naona umeanzisha thread ya magesa mulongo ukiwa chini ya muti nsalala
  2. O

    Hivi Mlinzi wa kijeshi wa Rais Magufuli haruhusiwi kucheka?

    kwanza yule mwanajeshi aliopo nyuma ya raisi so mlinzi bali ni nembo inayomaanisha jeshi lipo nyuma ya raisi ivyo kwa vyovyote vile raisi akitamka kitu jeshi linatii ivo jamaa yupo sahii kucheka na c kwamba amefanya kosa.
  3. O

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    heshima kwenu fans wa gunners.
  4. O

    Car for sale 5.5m

    cc ngapi na imetembea km ngapi weka full details.
  5. O

    Pata Simu Orijino kwa Bei Nafuu, Unaletewa Mpaka ulipo

    ntapata samsung galaxy S4 zoom kwa bei gani?
  6. O

    Toyota vitz kwa Mil 3

    ni kweli mkuu zanzibar spice wauzaji wengi wa magari sio wawazi kabisa kwa vitu alivovitaja si vya kufanya uuze gari kwa bei iyo.
  7. O

    Toyota vitz kwa Mil 3

    Hili gari mara ya kwanza ulipost unauza mil 4.7,kwnye mtandao wa kupatana.com linauzwa mil 5,leo post mpya mil 3 hili litakuwa na matatizo mengi ingawa hutaki kusema.
  8. O

    Toyota vitz in very good condition for only 4.7 m

    vp haijawai chezewa injini?
  9. O

    Toyota nadia inauzwa hapa

    hiyo nadia ina cc ngapi?na engine yake ni D4 au?
  10. O

    Toyota nadia inauzwa hapa

    mkuu kamata 4.5m kama utakuwa tayari nichek kwa 0758954181
  11. O

    Carina na Cresta GX100 zinauzwa

    Gx ina cc ngapi?
  12. O

    Nitajiajiri vipi au kupata kazi, nina degree ya archaeology

    mtafute yule mtangazaji wa tbc anaetangaza kipindi cha zama damu anaweza akakusaidia.
  13. O

    jema lingine toka kwa Diamond-kwa mara ya kwanza BET wacheza video ya Tanzania

    HOD mbona haonekani kujibu hoja yeye ndo kaleta uzi aje na kujibu.
Back
Top Bottom