Toyota vitz kwa Mil 3

Toyota vitz kwa Mil 3

Mr President aliipenda sana hii gari Na akamwambia anainunua kwa million 3 Ndo budget yake aliyonayo lakini tajiri alikataa kabisa, Leo bado gari iko online inatafuta Mteja, Mr President njoo huku biashara hii jukwani inakusubiri
 
Hili gari mara ya kwanza ulipost unauza mil 4.7,kwnye mtandao wa kupatana.com linauzwa mil 5,leo post mpya mil 3 hili litakuwa na matatizo mengi ingawa hutaki kusema.

Sijawah tangaza hili gar kwa sh. 5m. Hilo la kwanza!, pili matatizo ya hili gar nisha sema kama unahela njoo na fund wako akague kama atakuta matatizo tofaut na hayo niliyo sema, nimepunguza bei kutokana na uitaj wa fedha haraka! 4.7 milion watu waliokuja kucheki wenhi wao ni madalali mnunuz hakuna; nadhan nimeeleweka
 
Sijawah tangaza hili gar kwa sh. 5m. Hilo la kwanza!, pili matatizo ya hili gar nisha sema kama unahela njoo na fund wako akague kama atakuta matatizo tofaut na hayo niliyo sema, nimepunguza bei kutokana na uitaj wa fedha haraka! 4.7 milion watu waliokuja kucheki wenhi wao ni madalali mnunuz hakuna; nadhan nimeeleweka

https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=10591438

Mr. President 22:22 13th September 2014

Chukua 3,000,000 tshs, kama uko serious, kesho nikupe pesa jpili yako iende safi...kuna mtu
namchukulia kwa kuendea chuo...not more than tht...if ur ready tufanye biashara...

Mr. President 23:26 14th September 2014

By mkalenda :
thnx mkuu bei ya mwisho ni 4.5.. Atakae chukua hili gar atafurah saaana iko poa

==> Hapana...kama ungekubali 3M...niko tayari..ila ukichelewa kuna nyingine ya silver nachukua next week hadi tar 20 kwani ipo Kino..ila mwenyewe kasafiri kidogo...so tht is Maximum i can...!!
 
Hili gari mara ya kwanza ulipost unauza mil 4.7,kwnye mtandao wa kupatana.com linauzwa mil 5,leo post mpya mil 3 hili litakuwa na matatizo mengi ingawa hutaki kusema.

Sawa kabisa mkuu usikute hapo injini na geabox ni majanga
 
Gari ina miaka mi4 ndani ya bongo,kwa bei hiyo 3m reasonable.
attachment.php
 
Hili gari mara ya kwanza ulipost unauza mil 4.7,kwnye mtandao wa kupatana.com linauzwa mil 5,leo post mpya mil 3 hili litakuwa na matatizo mengi ingawa hutaki kusema.

Hili neno la kulifanyia kazi.
Ingawa bado mnunuzi anaweza kwenda na fundi wake kuifanyia tathmini ila still nadhani kuna maelezo ya kina muuzaji inabidi ayaweke wazi. Sometimes uwazi unasaidia sana kumfanya mteja awe informed na product anayonunua.
In that way kunakua hakuna kuzinguana wala kuleteana zengwe. Simple.
Enewei, mi napita tu
 
Hii ndiyo JF bwana!

Hili gari mara ya kwanza ulipost unauza mil 4.7,kwnye mtandao wa kupatana.com linauzwa mil 5,leo post mpya mil 3 hili litakuwa na matatizo mengi ingawa hutaki kusema.

Kweli nimekubali JF noma,yaani ukiingia uwe makini.Usishangai watu wakakupa hadi jina la mmiliki.
Hahaha.
Ki mtizamo wangu na kwa malezo ya Oldonyo hapo juu kutoka 4.5m hadi 3m ni kwamba nahisi Gari hiyo ime noki Engine kabisaa.
Sasa ukuziwa at 3m ujue umenunua mpya
 
Kweli nimekubali JF noma,yaani ukiingia uwe makini.Usishangai watu wakakupa hadi jina la mmiliki.
Hahaha.
Ki mtizamo wangu na kwa malezo ya Oldonyo hapo juu kutoka 4.5m hadi 3m ni kwamba nahisi Gari hiyo ime noki Engine kabisaa.
Sasa ukuziwa at 3m ujue umenunua mpya

ni kweli mkuu zanzibar spice wauzaji wengi wa magari sio wawazi kabisa kwa vitu alivovitaja si vya kufanya uuze gari kwa bei iyo.
 
Toyota vitz in very good condition for only 4.7 m

Mr. President 22:22 13th September 2014

Chukua 3,000,000 tshs, kama uko serious, kesho nikupe pesa jpili yako iende safi...kuna mtu
namchukulia kwa kuendea chuo...not more than tht...if ur ready tufanye biashara...

Mr. President 23:26 14th September 2014

By mkalenda :
thnx mkuu bei ya mwisho ni 4.5.. Atakae chukua hili gar atafurah saaana iko poa

==> Hapana...kama ungekubali 3M...niko tayari..ila ukichelewa kuna nyingine ya silver nachukua next week hadi tar 20 kwani ipo Kino..ila mwenyewe kasafiri kidogo...so tht is Maximum i can...!!

tena kaenda kuichezea odometer.. firstly ilikuwa inasoma 120,000 kms....sasa hivi 76,000kms... hii ndinga inakimbia kurudi nyuma...
JANJAJANJA
 
Nilikuwa najiuliza hili swali asee any way nililona kupatana, hii vits Inaonekana ilipigwa mzinga shavu la kushoto mbele
 
Toyota vitz in very good condition for only 4.7 m

Mr. President 22:22 13th September 2014

Chukua 3,000,000 tshs, kama uko serious, kesho nikupe pesa jpili yako iende safi...kuna mtu
namchukulia kwa kuendea chuo...not more than tht...if ur ready tufanye biashara...

Mr. President 23:26 14th September 2014

By mkalenda :
thnx mkuu bei ya mwisho ni 4.5.. Atakae chukua hili gar atafurah saaana iko poa

==> Hapana...kama ungekubali 3M...niko tayari..ila ukichelewa kuna nyingine ya silver nachukua next week hadi tar 20 kwani ipo Kino..ila mwenyewe kasafiri kidogo...so tht is Maximum i can...!!

mbona ndiyo bei aliyosema?!!...mpigie mmalize biashara.
 
Back
Top Bottom