Kila uhusiano unaudhaifu wake kwahiyo kuna watu kazi yao ni kusoma udhaifu huo, kwahiyo ukilega kidogo tu watu wanapita nae pia msisahau kuwa pesa ndio jibu la mambo yote
kwani wakati unalialia kuomba pesa ya mchango uliwaambia ni mchango wa kujenga au wa harusi na pia katika hao waliokuchangia jua Kuna watu hapo hata kiwanja hawana kwahiyo usiwavunje moyo au kuwaona wenzio wajinga.
"aziniye na mwanamke hana akili kabisa afanya jambo litakaloangamiza nafsi yake" hayo ni maneno ya biblia sijui kwenye kitabu gani vile nikumbusheni jamani
kwa kifupi usitegemee furaha yako itoke kwa mwanadamu ukifanya hivyo utajuta,ukitegemea watoto waje wakupe furaha nadhani utaishia kuwalaumu sana na hata kuwaingilia kwenye mambo yao ,hao wamama wanaopendana na watoto wao ndio chanzo kikuu leo hii ndoa nyingi kuvunjika utasikia " akikusumbua...
Beyond 35 it is like inviting drama and series in your life.
hao ndio wanawaitaga shangazi they can do anything to trap you and if you fell on their trap you are finished, yaani wanaganda balaa na wanaweza fanya chochote hata kukuharibia pale unapoachana nao.Hapo kwenye hilo kundi ndio kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.