Sasa nawe mkuu..kama tu 150k huna,unahangaika na hao warembo wa kazi gani?Nilimwambia ntampa hyo hela j5..sio leo..na si mwanamke wa kumlipa..ni demu wangu..aliomba 150k..
Si huenda ana chombo mzee wa kaziGari limetokea wapi tena mkuu?
Hakuoe ndio nini Mkuu?Ngoja nkuongezee hasira
Kwaiyo ana taka hakuoe ?? pia ana onekana ana kiburi sanaa
Unamuacha tu? Huyu ni wa kumtafuta na kumpa gegedo la hasira kisha unampa kisago cha nguvu na kumnyang'any hela zote alizochukua.Wakuu siku mbili tatu hizi kuna majukumu makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80.
Sasa nikabaki na kapesa kadogo kakusukuma siku mbili tatu.
Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref.
Huyu binti toka hiyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa.
Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na korodani zangu tuu.
Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..
Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?
Inamana tumezoeana sana ama?
Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah
Uzi tayar...
Na kuna tabia mwanamke hapendezi kuwa nazo akii..mwanamke muongo muongo mwizi hata huku kikeni tunamkataaYaani mimi siyo malaika kabisa ila kusema uongo, kuiba na kusaliti, kusingizia ni dhambi maziogopa mno maishani mwangu. Yaani siwezi. Sometimes tabia zako mbaya ndo zinakudecorate aisee.
Kabisaaaa... yaan uongo una gharama balaa...Na kuna tabia mwanamke hapendezi kuwa nazo akii..mwanamke muongo muongo mwizi hata huku kikeni tunamkataa
Kwani anajiuza mkuu, si ni mpenzi wake ashapewa vingi huyo. Na huwezi jua labda bibie ndo alikua analipa kwa kutoa huduma.Wait!!! Kwani ulipanga kumpa ngapi akiwa anaondoka? Au ulijiandaa na "thank you baby it was fantastic and enjoyable"
Yaan kakwangua. Na huku kwetu mvua ndo imeanza hapa..yaan unajua kanimaliza. Halaf sasa mim nna taratibu zangu
Mkuu hakuna mke hapoWakuu siku mbili tatu hizi kuna majukumu makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80.
Sasa nikabaki na kapesa kadogo kakusukuma siku mbili tatu.
Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref.
Huyu binti toka hiyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa.
Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na korodani zangu tuu.
Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..
Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?
Inamana tumezoeana sana ama?
Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah
Uzi tayar...
Mkuu huyu ni yule Single Mother? Pole nilisoma comment yako mahali mwaka jana. Hao hawana moyo wa kupenda wapo kimaslahi!Wakuu siku mbili tatu hizi kuna majukumu makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80.
Sasa nikabaki na kapesa kadogo kakusukuma siku mbili tatu.
Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref.
Huyu binti toka hiyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa.
Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na korodani zangu tuu.
Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..
Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?
Inamana tumezoeana sana ama?
Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah
Uzi tayar...
Una mahusiano na mwiziWakuu siku mbili tatu hizi kuna majukumu makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80.
Sasa nikabaki na kapesa kadogo kakusukuma siku mbili tatu.
Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref.
Huyu binti toka hiyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa.
Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na korodani zangu tuu.
Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..
Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?
Inamana tumezoeana sana ama?
Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah
Uzi tayar...
Huyo ni mwizi piga chini fastaWakuu siku mbili tatu hizi kuna majukumu makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80.
Sasa nikabaki na kapesa kadogo kakusukuma siku mbili tatu.
Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref.
Huyu binti toka hiyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa.
Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na korodani zangu tuu.
Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..
Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?
Inamana tumezoeana sana ama?
Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah
Uzi tayar...
Hakuna mwanamke anaweza fanya hivi kwa mwanaume bila kujua reaction yake itakuaje, Huyo binti anajua jamaa ni mwanaume wa aina gani.Dah, huyu demu wako anakushika sharubu kabisa, piga chini huyo