Habari zenu wanajamvi, hope muwazima kwa kudra za mwenyenzi Mungu!
Kwa anaejua kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu naomba anijuze! Natanguliza shukrani.
naomba uliza, eti mwalimu mwenye degree moja anaefundisha sekondari analipwa shilingi ngapi? na aliyeishia 4m4 akasoma ualimu grade "A" na anafundisha shule ya msingi analipwa shilingi ngapi?
hi' wana jamvi! samahani kwa anayefahamu mshahara uchumi supermarket wanalipa kiasi gani kwa customer service & cashier naomba kujuzwa. Na mfumo wa interv zao upoje?
yule wa k......i, au wa 2liver haahaa...., tuliver na tumbavu twangu tunauma kwa kucheka maana jamii forum nizaidi ya stress free zone aisee! (just joking)
cant wait 2see u jamani, vp hayo mafuta ya olive oil niyamgando au ya maji samahani kwakuuliza nataka nimnunulie na wifi ako! vp yanalainisha kipilipili au.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.