Stanley.
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 659
- 302
Tatizo humu kuna vilaza, yaani hawajui hata maana ya neno wastani!
Pole pole tutaelawana.
Tatizo humu kuna vilaza, yaani hawajui hata maana ya neno wastani!
kwa yeyote anayefahamu atujuze, July ndio hii.
Si haba.
Hivi ongezeko linagusa wakufunzi wa vyuo vya elimu ya juu?
Hivi ongezeko linagusa wakufunzi wa vyuo vya elimu ya juu?[/
vyuo vya Elimu ya Juu ndivyo vipi? Unamaanisha vyuo vikuu? Huku kuna wahadhiri na Maprofesa tu.