Josephat Mgimwa
Member
- Apr 8, 2014
- 60
- 18
Nashangaa wanawake wenyewe hawaelewi Kila siku harufu kwa kukaa na bichwa halijaoshwa Mwez mzima Kila siku ni kupuliza marashi, Jua likiwaka tuna shida kwenye madaladala
kila kitu feki siku hizi
wanaopenda bandika nywele kwa kupenda kuhongwa haooooooooooooooooo, vipara wanajiamini sana ,wenye dreads kweli ni wababe,waves wanadeka sana.
ni mtazamo tu!
Low cuts kwa wadada wengi ni ishu. Wengi wana vichwa vibayaaa wakikata nywele wanaonekana vituko. Ila swala minywele ya bandia uwa sili afiki saaana. Sijui tu nikioa uyo mwanamke itakuwaje
Villager,
Point taken
Villager,
Point taken
Thanks God saiv najikubali the way I am, kipilipili changu aisee nakipaka olive oil kinang'aajee???
Awali nilikichukia sana nikawa natafuta any means kukificha but mwisho wa siku nikaona ulimbukeni tu. Nywele unaihangaikia weeee haikui wala ninj khaaaaa!!!!!
Tupa kule wacha chogo ling'azwe na upara......
C.C walokuwa party!!!!!
kumbeeeewanaume wengine ubahili ndo unawafanya wawazuie wapenzi wao kusuka kutoa hela ya saluni kila wiki au mwezi kwake ni msamiati kwa kweli viumbe kama hawa wapite kushoto waende kwa amani tu!!
Hiyo post yangu uliyokwote niliiandika zaidi ya miaka nane iliyopita na wala haikuwa na uhusiano na nywele za wanawake; imekuwaje hapa?Vpi nywele halisi zilizokua relaxed??nazo zote ni team nywele bandia amaa??
ipe roho kitu inaataka ikitaka kunyoa nyoa ikitaka kusuka suka ikitaka kusokote kama wavuta bangi wa arusha sokota as long as uhuru is conerned no problemeee!!!
cc. Nicas Mtei .........Siku hizi wanawake wetu wanashindana kubandika manywele ya bandia ili wawe na nywele ndefu zilizodondokea mgongoni...
But wapo watu, mimi nikiwemo huwa napenda kuona mwanamke akitoka na nywele zake fupi na kazisuka mitindo ya enzi na enzi kama hivi.....very beautifull