Recent content by OgaBoy

  1. O

    JamiiForums Tanzania Kama una mtaji usiweke kwenye biashara ya Frame/maduka, fanya hivi

    Wewe unajielewa kweli sasa mbona hujaongea kuhusu frame na hao umetaja wote wako kwenye frame
  2. O

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    That is why I'm oga the oga is short-term of ORIGINAL THEN COMBINE WITH BOY from my motherland Nigeria
  3. O

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwanamke kutokwa na damu kwa miaka 12 kinaleta mkanganyiko, sometimes bibilia inatakiwa iwe specific bhana!

    Mke wangu aliwahi tokwa Kwa miezi 3 mwendo wa pedi zinatoka zinakata zinatokaaa zipo dawa za kukata damu lakini hali hiyo inasabsbisa kuzimia na kupoteza fahamu kuisiwa nguvu n.k mambo ya kawaida yanaweza mtokea yoyote Kwa sababu zozote. Ipo njia iiiyomsaidia kusavaivu ikiwemo matumizi ya bit roots
  4. O

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    Hiyo sijaona, nb marafiki walevi ni wanafiki pombe wanakupa ila chakula hahaha
  5. O

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    Michango Gani kunua pombe za elfu 1 mia tano Kwa 2000 ni michango ya kujenga?
  6. O

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Ndiyo keshafariki longtime na Mimi ni mzawa wa mitaa hiyo Kwa Enzi hizo
  7. O

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya MV Bukoba: Kwangu naona kama imetokea jana na hivi ndvyo ninavyo azimisha tukio hili

    Ukweli ni kwamba mv bukoba ilikuwa meli kimeo hayo mengine yanachangia kidogo tu. Karibuni Kwa Mzee Rume msameheni bure
  8. O

    JamiiForums Tanzania Pikipiki za umeme “Roam Air” kutoka Kenya, ndio mkombozi wa usafiri kipindi hiki cha mafuta bei ghali!

    Moja ya kitu nachukia ni ujio wa hizo pikipiki zikiwa na bei Kali kuliko za mafuta. Yani kuimiliki ni shughuli Kwa makapuku forum
  9. O

    JamiiForums Tanzania Kutazama juu kutokea chini kunavyo badili mtazamo wako kihualisia

    Mtazamo (perspective) hubadilisha kila kitu. Katika ubunifu (design), upigaji picha, au maisha ya kila siku, jinsi unavyoweka "lenzi" yako ndivyo inavyoamua mwonekano wa hadithi unayoisimulia. Unapobadilisha mtazamo na "kuangalia juu" (looking up), papo hapo unabadilisha jinsi picha au...
  10. O

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa akishavuta ganja akipanda on the stage ni balaa tupu😂

    Unakuta anasema hakuna MUNGU https://www.instagram.com/reel/DYTMRjbmBTN/?igsh=cGNmbXd2YW1lNTBx
  11. O

    JamiiForums Tanzania Ukim-beep mwenza wako, atachukua muda gani kabla ya kukupigia?

    NaKama hana salio aka kichere
Back
Top Bottom