Recent content by OgaBoy

  1. O

    JamiiForums Tanzania Mbinu gani ulitumia kumpata mwenza wako?

    nilimwambia nakupenda nataka uwe mke wangu akavunga nikampa wiki mbili afilirie basi ndo hivyo leo mwaka wa 10+ tunanyegeleana
  2. O

    JamiiForums Tanzania Swali: Dunia bila Mwanaume je nani angemlinda Mwanamke?

    kunywa savana tatizo linaanza pale mwanamke anakunywa tingisha haya ndo madhara na hisia zisizo na uhalisia
  3. O

    JamiiForums Tanzania Swali: Dunia bila Mwanaume je nani angemlinda Mwanamke?

    bro leo umepagawa 😀😀😀😀au unapagawisha
  4. O

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    bado kuna mapungufu
  5. O

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    kwanza utajuaje kuwa nimetumia 1000
  6. O

    JamiiForums Tanzania sishangai watu maarufu kwenye jukwaa hasa hawa verified member kuwa chawa hawana tofauti na wasanii

    Hauna haki ya kuwa chawa ni kujikosesha heshima tu, hamlipwi mnashinikizwa sababu mnafahamika. mtu kama Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli n.k Ni case study hawana namna . kama mimi nilivyoenda ikulu nikakuta darasa la viongozi yule mama anawafundisha yeye ni mwema na alivyoniona mgeni...
  7. O

    JamiiForums Tanzania TBT

    Ni hii ya kutoweka picha si unaona mwenyewe
  8. O

    JamiiForums Tanzania Ni mtu nadhifu lakini ana tabia za kuomba omba sana

    Napata shida shida sana nkiwa kwenye biashara natafuta pesa. Yule yule aliekupangisha anakuwa kero kwako ni omna omba kwa wiki hakosi kukujoa mara tatu hata umkazie vipi . Aise naishiwa power sina roho ngumu ni mtu ambaye naweza kukaza ili nikimkuta nje amekaa kwa huruma unaona umpe japo...
  9. O

    JamiiForums Tanzania JamiiForums ukiropoka ujinga kwenye uzi utajuta, No Delete Section

    Futa kisha weka dot .
  10. O

    JamiiForums Tanzania Madogo wa Kiume, Acheni Tabia ya Kuja Inbox Kuomba Hela

    Wazabe nyundo nilidhani peke yangu tu.
  11. O

    JamiiForums Tanzania Una gari ila haiwezi kwenda umbali unaochukua masaa 7 nakuendelea?

    Unapaki gari alafu unaenda stand kwa safari ya masaa machache eti unakomboa mafutap😀
  12. O

    JamiiForums Tanzania Una gari ila haiwezi kwenda umbali unaochukua masaa 7 nakuendelea?

    We nunua gari acha mkweche. Unaanzaje kunua gari milioni 3 bora uchukue boda au guta ufanye biashara Matusi ruksa😀
Back
Top Bottom