Hauna haki ya kuwa chawa ni kujikosesha heshima tu, hamlipwi mnashinikizwa sababu mnafahamika.
mtu kama Pascal Mayalla Robert Heriel Mtibeli n.k
Ni case study hawana namna .
kama mimi nilivyoenda ikulu nikakuta darasa la viongozi yule mama anawafundisha yeye ni mwema na alivyoniona mgeni...
Napata shida shida sana nkiwa kwenye biashara natafuta pesa.
Yule yule aliekupangisha anakuwa kero kwako ni omna omba kwa wiki hakosi kukujoa mara tatu hata umkazie vipi .
Aise naishiwa power sina roho ngumu ni mtu ambaye naweza kukaza ili nikimkuta nje amekaa kwa huruma unaona umpe japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.