Kikwetes directive to stop demolition sparks debate
The recent order by President Jakaya Kikwete to the Works minister regarding the on-going demolition of structures along road reserves has drawn mixed reaction from different sections of the society.
Early last week, President Kikwete directed...
Kikwete's directive to stop demolition sparks debate
The recent order by President Jakaya Kikwete to the Works minister regarding the on-going demolition of structures along road reserves has drawn mixed reaction from different sections of the society.
Early last week, President Kikwete directed...
Aliomba u-Rais akitarajia atakuwa bwana harusi wa kuzungukwa na wapambe kwa miaka 10 bila kufanya kazi ngumu, sasa maji yamemfika shingoni. Toka ari, kasi na nguvu mpya na kisha ari, kasi na nguvu zaidi hadi kukiri kushindwa hadharani!!! Aibu....
Si bure, una lako jambo. Nadhani heri ya magufuli mchapa kazi kuliko kuwa na mtu anayedhani kuwa mkuu wa kaya ni sawa na kuwa bwana harusi ukizungukwa na wapambe bila kufanya kazi miaka 5!
Pole sana Zitto lakini usihamaki, swali lilikuwa na nia njema kwako kwani wewe ni moja ya icons za CDM. Ukikosekana mahali, CDM mashzabiki wanajiuliza kulikoni, so go ahead and defend your 'status quo' in the party.
Kama wako makini sana katika kusalitiana nakubaliana nawe...kwa taarifa yako Zitto wa leo sio yule tuliyemjua, amekwishatekwa na vijisenti na viiitikadi fulani fulani ...
Hilo linawezekana nami nililihisi tangu Dodoma Januari alipokomalia mitambo ya Dowans iwashwe kuokoa uchumi! Kiasi cha umeme kinachofuliwa na dowans ni kidogo mno kwani nini akomalie mitambo hiyo na siyo kutengenezwa haraka kwa Songas inayozalisha karibu mara mbili ya Dowans? Hapana shaka...
"Ni uamuzi wa busara maana hakawii kuporomosha matusi yule mchaga! bunge lina hadhi yake bwana sasa hayo matusi yake ni bora ayaandike halafu ayasome aone yana sound vipi! TV zinaangaliwa na watoto siku hizi ala!"
Kama ni matusi angeaachwa atukane tani yake kisha achukuliwe hatua kali, hakuna...
"kwa kweli chadema hawana mindset na ndio maana wanaanguka ovyo ovyo kila saa,
mm nnawapa pole"
Sina hakika kama neno 'mindset' hapa ni mahala pake, lakini pia neno kuanguaka 'ovyo ovyo' sijui ulikuwa unamlenga Kikwete!!!
Pinda has never been clean as people think, that's why he was defending Mwanza City executive director's decision to sell Nyamagana Stadium, which he called a 'ramshackle stadium'. The city director embraces corruption and is arrongant because he knows Pinda, his confidant and college mate, will...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.