kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,221
Kwa akili hizi za wachangiaji CCm itatawala milele..maana bila kufikiria mipuuzi inaingia kichwa kichwa.
wewe utakuwa rais wa hao wapuuzi.
Kwa akili hizi za wachangiaji CCm itatawala milele..maana bila kufikiria mipuuzi inaingia kichwa kichwa.
Ninavyo ijua CCM haiwezi fanya mambo ya kijinga kama hayo ya kuandamana! Ni upuuzi mtupu!
Mkuu, heshima sana! ccm gani unayoongelea? Ni tofauti na ile iliyoandaa na kufanya maandamano ya kuunga mkono uongo wa kikwete kuwa hakuna mtu Tanzania anayekula 'mapanki' au???Ninavyo ijua CCM haiwezi fanya mambo ya kijinga kama hayo ya kuandamana! Ni upuuzi mtupu!
Badala ya kutatua kero za wananchi walizoziwasilisha kupitia maandamano wao wanadesa. Sasa hayo maandamano yatashusha gharama za maisha au yatatupatia umeme wa uhakika? Watu waliozoea mipasho kamwe hawafai kabisa kupewa uongozi. Wanathibitisha jinsi tulivyochemsha kuwaachia watuongoze. I pity the fool.
Maneno kwamba mbona fulani kashindwa mm nitwezaje? Hayasemwi wanaume hadharani hasa ulizingatia ni x mjeshi. Uraisi aliomba wa nini kama hawezi kitu cho chote? Maskini wa Mungu
hiyo statement hata mi niliisikia.....hivi waandishi wa hizi speech anawachagua mwenyewe au? mbona UD kuna maprofesa....wanahusishwaga kweli kwenye kutoa mawazo kwa mheshimiwa? au labda kaandika mwenyewe?
yaani ninajiuliza maswali mengi sana.
Mwenyekiti yuko paris na katibu mkuu sidhani kama anakubalika. Labda mwingine
kwani ianguke mara ngapi?kweli mmelala usingizi haya kanyaga twende.Hayooooo yameshindwa uchaguzi nakubaki kuota oooh CCM ita anguka! Msahau kabisa na 2015 tutashinda na mtasema tumechakachua!
Lazima utakuwa sophia simba wewe.Hayooooo yameshindwa uchaguzi nakubaki kuota oooh CCM ita anguka! Msahau kabisa na 2015 tutashinda na mtasema tumechakachua!
Ushirikina umewakaa sana wale, viongozi wao wote wanavaa pete za majini ya sheikh yahaya nimeshangaa hata wasomi na vijana kama kina Ngereja William naye analo pete kuuuuuubwa.