AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
HABARI ZILIZO KWELI NA ZA KUAMINIK NI KUWA MGOGORO MKUBWA ULIOPO NDANI YA KAMATI YA NISHATI NA MADINI NI KUWA HELA ALIZOTOA ALLY ADAWI ILI KAMATI HIYO IPIGE DEBE MITAMBO YA DOWANS IWASHWE ZIMELIWA NA WANAKAMATI WACHACHE.
MITAMBO HIYO ILIYOWASHWA JUZI KWA SIKU TATU MFULULIZO IMELAZIMIKA KUZIMWA KUTOKANA NA MBUNGE WA CHADEMA JJ MNYIKA AMBAYE NI MWANAKAMATI KUKATAA MGAO WA HELA HIZO NA BAADHI YA WANA KAMATI WENZAKE KUMUUNGA MKONO KWAMBA MITAMBO HIYO ITAIFISHWE NA SIYO IWASHWE BILA MKATABA
nionavyo Januari kachukua hela nyingi na keshazitumia sas anasema lazima mitambo iwashwe na jana kakataa kura kwa maana alilamini wazo lake lingeshindwa na sikia ana haha sasa kuwapooza wanakamati waliompinga,KAZI IMEANZA
MITAMBO HIYO ILIYOWASHWA JUZI KWA SIKU TATU MFULULIZO IMELAZIMIKA KUZIMWA KUTOKANA NA MBUNGE WA CHADEMA JJ MNYIKA AMBAYE NI MWANAKAMATI KUKATAA MGAO WA HELA HIZO NA BAADHI YA WANA KAMATI WENZAKE KUMUUNGA MKONO KWAMBA MITAMBO HIYO ITAIFISHWE NA SIYO IWASHWE BILA MKATABA
nionavyo Januari kachukua hela nyingi na keshazitumia sas anasema lazima mitambo iwashwe na jana kakataa kura kwa maana alilamini wazo lake lingeshindwa na sikia ana haha sasa kuwapooza wanakamati waliompinga,KAZI IMEANZA