Wanaume tabu sana kwakwel... Kila siku mwanamke awe hivi cjui vile au awe na sifa hizi cjui zile.. hivi huwa mmejiandaa kweli kumiliki mwanamke wa sifa hizo kwa kujikamilisha binafsi?? Au madhaifu wanaume mnaruhusiwa kuwa nayo ila mwanamke anapaswa kuwa amekamilika??? Nadhani mwanaume...
Ingelikuwa ww ndie mfumbuz, mgunduz au mwanzilishi na ushaidi unao ungeeleweka ila umekuta kama wengine walivyo zikuta dini zao kwahyo heshima kitu cha bure
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.